Kwanini ufanye Biashara ya Mtandao na FLP ?

Kwanini ufanye Biashara ya Mtandao na FLP ?

Biashara kichaa hii inahitaji ujitoe akili kwanza, yani ujifanye fyatu
 
Kuna jamaa mmoja kwenye group la what's app akaleta hii mambo watu wajiunge kwa laki 3 utapata faida laki 1 papo apo alafu baada ya Miezi sita unanunua gari
Akaulizwa swali
1. Unajua gharama ya kununua gari
2. Je tukichukua laki 1 mara sita tuna pata laki ngapi na je inaweza nunua pikipiki
Alianza kuwa mkali vibaya mno akajitoa kwenye group
😁😁😁😁😁
 
Wako wa Tanzania wanaotumia laki kwa siku kwenye kula tu!! Kama umechagua kua maskini na kushindwa kununua kitu usitake na wengine waungane na ww. Kiti kua ghali suluhisho sio kuacha kununua suluhisho ni kuongeza mkondo wako wa kipato ili uweze kumudu gharama.
Naona na wewe unataka mkoko

Njoo huku ulime wenzio tunauza bila kushawishi.. Wanakuja wenyewe. Sa nyie bidhaa zenu mpaka uanze kumtafutia mtu ugonjwa, halafu umshawishi anunue na atumie halafu auze..

Kweli biashara kichaaa... Anyway usikate tamaa pengine unaona kesho yako
 
Huu uzi umenifumbua macho. Nilitaka kuingizwa mkenge ila kabla ya kuwakubalia nablock contact zao sitaki traffic SMS zao 🙏
 
Back
Top Bottom