Kwanini tusiwe na Vyama Vitatu tu vya Siasa?

Kwanini tusiwe na Vyama Vitatu tu vya Siasa?

888I

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
445
Reaction score
554
Jamani hebu tuseme ukweli, lakini kwa utulivu... Hii nchi tuna vyama 19 vya siasa na wengine wanataka kuvifikisha 30! 😳

Nimekuwa nikijiuliza tu, kwanini tusibakize vyama vitatu vya maana—vitatu tu lakini vyenye meno, misuli na ushawishi?

1.Kimoja cha mrengo wa kulia,
2.Kimoja cha mrengo wa kushoto,
3.Kimoja cha katikati (wasiojua wako wapi 😅)

Kisha tukaruhusu wagombea huru – wale wasiofungamana na chama lakini wana nguvu mitaani na moyo wa kizalendo.

📲 Namna ya Kupunguza Vyama sasa:
Hii itafanyika kwa uzalendo na teknolojia. Tunaanzisha mfumo wa kisasa kabisa:

Kila Mtanzania anajisajili kwa kutumia namba ya NIDA na kuchagua chama chake kupitia:

1.Simu (USSD),
2.Kompyuta,
3.Ama stationaries/vituo vya huduma vijijini.

Baada ya usajili:
Tunasema Mfano labda Chama kisichofikisha wanachama 5,000,000 kwa kitaifa na 10,000 kwa angalau mikoa minne kinapewa kadi ya njano...

Kikiwa kimelala hadi muda wa mwisho – kinapewa kadi nyekundu (kimya kimya hakipewi tena ruzuku wala taarifa kwenye TV).

Wanachama wake wanaarifiwa wachague chama kingine ama wawe huru.

💸 Kwanini Hii Inahitajika?
1.Kupunguza gharama ya ruzuku kwa vyama visivyo na mvuto wala sera.
2.Kuhimiza vyama vianze kushindana kwa sera, si kutegemea bendera na nembo za msajili.
3.Kujenga mfumo wa siasa wa kueleweka: wananchi wajue tofauti ya chama A na B, si A na A’ ambayo ni kivuli chake.
4.Kukomesha siasa za "vijisentiko" – chama kinapokea milioni halafu kinafanya mkutano wa wanachama 7, wanne wakiwa ni jamaa wa mwenyekiti. 😂

🤷🏽‍♂️ Siyo Sera Rasmi, Ni Fikira za Mtaani Tu... Lakini?

Najua wapo watakaosema huu ni udikteta kwa kivuli cha utaratibu. Lakini jamani, kwa mtu anayejali kodi yake na mustakabali wa taifa, si bora udikteta wa hoja kuliko uhuru wa matapishi ya kisiasa?

✍🏽 Tuanzishe Mjadala:
Je, Tanzania ina vyama vingi sana visivyo na mchango?
Je, mfumo wa wanachama kwa NIDA unaweza kusaidia kuchuja pumba kwenye kisiasa?

📌 #VyamaVitatu #SiasaZaMaendeleo #UkweliKwaUcheshi
 
Jamani hebu tuseme ukweli, lakini kwa utulivu... Hii nchi tuna vyama 19 vya siasa na wengine wanataka kuvifikisha 30! 😳

Nimekuwa nikijiuliza tu, kwanini tusibakize vyama vitatu vya maana—vitatu tu lakini vyenye meno, misuli na ushawishi?

1.Kimoja cha mrengo wa kulia,
2.Kimoja cha mrengo wa kushoto,
3.Kimoja cha katikati (wasiojua wako wapi 😅)

Kisha tukaruhusu wagombea huru – wale wasiofungamana na chama lakini wana nguvu mitaani na moyo wa kizalendo.

📲 Namna ya Kupunguza Vyama sasa:
Hii itafanyika kwa uzalendo na teknolojia. Tunaanzisha mfumo wa kisasa kabisa:

Kila Mtanzania anajisajili kwa kutumia namba ya NIDA na kuchagua chama chake kupitia:

1.Simu (USSD),
2.Kompyuta,
3.Ama stationaries/vituo vya huduma vijijini.

Baada ya usajili:
Tunasema Mfano labda Chama kisichofikisha wanachama 5,000,000 kwa kitaifa na 10,000 kwa angalau mikoa minne kinapewa kadi ya njano...

Kikiwa kimelala hadi muda wa mwisho – kinapewa kadi nyekundu (kimya kimya hakipewi tena ruzuku wala taarifa kwenye TV).

Wanachama wake wanaarifiwa wachague chama kingine ama wawe huru.

💸 Kwanini Hii Inahitajika?
1.Kupunguza gharama ya ruzuku kwa vyama visivyo na mvuto wala sera.
2.Kuhimiza vyama vianze kushindana kwa sera, si kutegemea bendera na nembo za msajili.
3.Kujenga mfumo wa siasa wa kueleweka: wananchi wajue tofauti ya chama A na B, si A na A’ ambayo ni kivuli chake.
4.Kukomesha siasa za "vijisentiko" – chama kinapokea milioni halafu kinafanya mkutano wa wanachama 7, wanne wakiwa ni jamaa wa mwenyekiti. 😂

🤷🏽‍♂️ Siyo Sera Rasmi, Ni Fikira za Mtaani Tu... Lakini?

Najua wapo watakaosema huu ni udikteta kwa kivuli cha utaratibu. Lakini jamani, kwa mtu anayejali kodi yake na mustakabali wa taifa, si bora udikteta wa hoja kuliko uhuru wa matapishi ya kisiasa?

✍🏽 Tuanzishe Mjadala:
Je, Tanzania ina vyama vingi sana visivyo na mchango?
Je, mfumo wa wanachama kwa NIDA unaweza kusaidia kuchuja pumba kwenye kisiasa?

📌 #VyamaVitatu #SiasaZaMaendeleo #UkweliKwaUcheshi
Hili wazo lako, ni watu wenye akili pekee ndiyo watakuelewa. Hata mimi kuna wakati niliwaza kwa nini tusiwe na vyama 3 tu vya siasa, na vyenye haki na uwezo wa kuongoza nchi?

Kwa mfano chama cha kwanza kingeitwa Nationalist Party (NP)! Hiki kingekuwa ni chama cha Wahafidhina (Watanganyika wenye msimamo mkali kama mimi)

Chama cha pili kingeitwa Democratic Party! (DP) Hiki kingebeba wananchama mchanganyiko! Wale wahafidhina na wapenda mabadiliko.

Chama cha 3 kingeitwa Liberal Party (LP). Hiki kingekuwa ni chama cha wapenda mabadiliko ya kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini.

Baada ya hapo kunakuwa na uwanja sawa wa kufanya siasa! Uwepo wa wa Katiba ya wananchi! Tume Huru ya uchaguzi! Halafu vyama vyote pamoja na tofauti zao, vinahakikisha vinakuwa na msimamo mmoja linapokuja suala linalohusu maslahi ya Taifa, raslimali za nchi, maslahi ya wananchi, watu wote wanafundishwa umuhimu wa kuwa wazalendo kwa nchi yao, nk.

Nadhani kama Taifa tungefika mbali sana kuliko huu upuuzi tunao ushuhudia sasa wa vyama kumilikiwa kinguvu na magenge ya wahuni pamoja na wachumia tumbo.
 
Hili wazo lako, ni watu wenye akili pekee ndiyo watakuelewa. Hata mimi kuna wakati niliwaza kwa nini tusiwe na vyama 3 tu vya siasa, na vyenye haki na uwezo wa kuongoza nchi?

Kwa mfano chama cha kwanza kingeitwa Nationalist Party (NP)! Hiki kingekuwa ni chama cha Wahafidhina (Watanganyika wenye msimamo mkali kama mimi)

Chama cha pili kingeitwa Democratic Party! (DP) Hiki kingebeba wananchama mchanganyiko! Wale wahafidhina na wapenda mabadiliko.

Chama cha 3 kingeitwa Liberal Party (LP). Hiki kingekuwa ni chama cha wapenda mabadiliko ya kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini.

Baada ya hapo kunakuwa na uwanja sawa wa kufanya siasa! Uwepo wa wa Katiba ya wananchi! Tume Huru ya uchaguzi! Halafu vyama vyote pamoja na tofauti zao, vinahakikisha vinakuwa na msimamo mmoja linapokuja suala linalohusu maslahi ya Taifa, raslimali za nchi, maslahi ya wananchi, watu wote wanafundishwa umuhimu wa kuwa wazalendo kwa nchi yao, nk.

Nadhani kama Taifa tungefika mbali sana kuliko huu upuuzi tunao ushuhudia sasa wa vyama kumilikiwa kinguvu na magenge ya wahuni pamoja na wachumia tumbo.
Ahsante kwa kunielewa na kuongezea... Yaani sasa hivi kuna vyama vinamiliki vyama vingine sasa sisi Wanachama tunajua tunafuata chama A kumbe viongozi wa chama chetu A wanafuata ama wapo chama K ..
 
Jamani hebu tuseme ukweli, lakini kwa utulivu... Hii nchi tuna vyama 19 vya siasa na wengine wanataka kuvifikisha 30! 😳

Nimekuwa nikijiuliza tu, kwanini tusibakize vyama vitatu vya maana—vitatu tu lakini vyenye meno, misuli na ushawishi?

1.Kimoja cha mrengo wa kulia,
2.Kimoja cha mrengo wa kushoto,
3.Kimoja cha katikati (wasiojua wako wapi 😅)

Kisha tukaruhusu wagombea huru – wale wasiofungamana na chama lakini wana nguvu mitaani na moyo wa kizalendo.

📲 Namna ya Kupunguza Vyama sasa:
Hii itafanyika kwa uzalendo na teknolojia. Tunaanzisha mfumo wa kisasa kabisa:

Kila Mtanzania anajisajili kwa kutumia namba ya NIDA na kuchagua chama chake kupitia:

1.Simu (USSD),
2.Kompyuta,
3.Ama stationaries/vituo vya huduma vijijini.

Baada ya usajili:
Tunasema Mfano labda Chama kisichofikisha wanachama 5,000,000 kwa kitaifa na 10,000 kwa angalau mikoa minne kinapewa kadi ya njano...

Kikiwa kimelala hadi muda wa mwisho – kinapewa kadi nyekundu (kimya kimya hakipewi tena ruzuku wala taarifa kwenye TV).

Wanachama wake wanaarifiwa wachague chama kingine ama wawe huru.

💸 Kwanini Hii Inahitajika?
1.Kupunguza gharama ya ruzuku kwa vyama visivyo na mvuto wala sera.
2.Kuhimiza vyama vianze kushindana kwa sera, si kutegemea bendera na nembo za msajili.
3.Kujenga mfumo wa siasa wa kueleweka: wananchi wajue tofauti ya chama A na B, si A na A’ ambayo ni kivuli chake.
4.Kukomesha siasa za "vijisentiko" – chama kinapokea milioni halafu kinafanya mkutano wa wanachama 7, wanne wakiwa ni jamaa wa mwenyekiti. 😂

🤷🏽‍♂️ Siyo Sera Rasmi, Ni Fikira za Mtaani Tu... Lakini?

Najua wapo watakaosema huu ni udikteta kwa kivuli cha utaratibu. Lakini jamani, kwa mtu anayejali kodi yake na mustakabali wa taifa, si bora udikteta wa hoja kuliko uhuru wa matapishi ya kisiasa?

✍🏽 Tuanzishe Mjadala:
Je, Tanzania ina vyama vingi sana visivyo na mchango?
Je, mfumo wa wanachama kwa NIDA unaweza kusaidia kuchuja pumba kwenye kisiasa?

📌 #VyamaVitatu #SiasaZaMaendeleo #UkweliKwaUcheshi
Ungetumia mida wkako kuwaza namna ya kuinua uchumi ingependeza zaidi
 
Kwanini tusiwe na madhehebu aina tatu TU?
1. Siasa
2. Dini
Vyote ni biashara,kama ilivyo biashara zingine.
Siasa ni top ndiyo inaamua hata hizo dini ziwepo ama zisiwepo
 
Unajua divide and rule,

Ndo principle iliyotumika kuanzisha vyama vingi, Nyerere alifikiria mbali saana.

NCCR-Mageuzi ilikufa.

CUF-Ikafa,

Zamu ya CHADEMA imefika
 
Unajua divide and rule,

Ndo principle iliyotumika kuanzisha vyama vingi, Nyerere alifikiria mbali saana.

NCCR-Mageuzi ilikufa.

CUF-Ikafa,

Zamu ya CHADEMA imefika
Ila si tunaweza tukabadilika?!
 
Back
Top Bottom