Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Hata baa ikiwa ya mchagga huwezi kukuta wanauza mbekhe (mbege) ila macharari utayapata, mtori kwa sana, kiburu etc
Pombe za aina gani ambazo vilevi vyake vinabadilika?tatizo usafi na viwango vya kilevi kila kukicha vinabadilika
niambie Ulanzi, Pingu, Mbege n.k zina alcoholic content kiac gani!Pombe za aina gani ambazo vilevi vyake vinabadilika?
Hizi za asili hazina kiwango sahihi cha %alc zinavary kwa sababu ni spontaneous fermentationniambie Ulanzi, Pingu, Mbege n.k zina alcoholic content kiac gani!
Hapo sasa ugomvi na komba.Mnazi
Safi sana mkuu .Hata baa ikiwa ya mchagga huwezi kukuta wanauza mbekhe (mbege) ila macharari utayapata, mtori kwa sana, kiburu etc
Kimpumu a.k.a PampulaIle pombe waliyokunywa dr.bilal na pinda inaitwaje?
Haya maneno hayana kiswahili chake?Hizi za asili hazina kiwango sahihi cha %alc zinavary kwa sababu ni spontaneous fermentation