Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,219
- 2,824
Habari,
Kwa wale wapenzi wa mangumi ya video kama mimi nadhani tunajua moto wa waigizaji wa action movies hasa wale wa ngumi kavu kavu.
Hebu ona hii orodha;
Jet Li
Garry Daniels
Sunil Shetty
Arnold Schwarzenegger
Sunny Deol
Dolf Lundgren
Van Damme
Chuk Norris
Rambo
Donny Yen
Jackie Chan
Bruce Lee
Akshay Kumar
Mithun Chakraboty
Wislay snipes
Billy Blanks
Collin Chou
Mukesh Rish
Jerry Trimble
Michael j white
Kessy Vitali
Tiger Shrof
Scott Adkins
Tony Jaa
Jason Statum
Ukiangalia hiyo list utakuta wameshakutana kutana kwa namna tofauti tofauti (japo kwa Wahindi sijaona wakichanganyika sana).
Sasa kwa sasa kule India wanaong'ara kwenye hayo mambo naona humkosi Tiger na kule Uingereza, Garry Daniels kazeeka sasahivi moto upo wa Scott Edward Adkins.
Napenda sana hawa wawili walivyo smart katika kupambana, wangekutana kwenye muvi moja watuoneshe ujuzi wao. Huyu Mhindi nikiangalia movie zake namuona yupo vizuri ila kinachomharibu ni mambo ya ubollywood na utollywood (ya mtu kupigwa ngumi mpaka anafuka vumbi, anapaa anaangukia mnazi nazi zinajiangua zote, kisha akaendelea mbele anakumba gari inaserereka mpaka inaangusha ukuta nk).
Kwa wale wapenzi wa mangumi ya video kama mimi nadhani tunajua moto wa waigizaji wa action movies hasa wale wa ngumi kavu kavu.
Hebu ona hii orodha;
Jet Li
Garry Daniels
Sunil Shetty
Arnold Schwarzenegger
Sunny Deol
Dolf Lundgren
Van Damme
Chuk Norris
Rambo
Donny Yen
Jackie Chan
Bruce Lee
Akshay Kumar
Mithun Chakraboty
Wislay snipes
Billy Blanks
Collin Chou
Mukesh Rish
Jerry Trimble
Michael j white
Kessy Vitali
Tiger Shrof
Scott Adkins
Tony Jaa
Jason Statum
Ukiangalia hiyo list utakuta wameshakutana kutana kwa namna tofauti tofauti (japo kwa Wahindi sijaona wakichanganyika sana).
Sasa kwa sasa kule India wanaong'ara kwenye hayo mambo naona humkosi Tiger na kule Uingereza, Garry Daniels kazeeka sasahivi moto upo wa Scott Edward Adkins.
Napenda sana hawa wawili walivyo smart katika kupambana, wangekutana kwenye muvi moja watuoneshe ujuzi wao. Huyu Mhindi nikiangalia movie zake namuona yupo vizuri ila kinachomharibu ni mambo ya ubollywood na utollywood (ya mtu kupigwa ngumi mpaka anafuka vumbi, anapaa anaangukia mnazi nazi zinajiangua zote, kisha akaendelea mbele anakumba gari inaserereka mpaka inaangusha ukuta nk).