Kwanini TCRA wasiwe na mfumo huu kupambana na matapeli wa mtandaoni?

Isaac1

Member
Nov 12, 2018
79
70
Habari zenu.
Mimi nilitarajia kuwa baada ya kusajiri laini zetu kwa alama za vidole basi wale wazee wa pesa hiyo itume kwa namba hii wangeisha ila imekuwa tofauti kabsa.
Watu bado wanatapeli na kutapeliwa .

Nchi za wenzetu wanavifaa ambavyo mtu akifanya uhalifu wowote kwa kutumia simu moja kwa moja wanamkamata bila kuchelewa maana wanavifaa ambavyo hata kama utatumia laini isiyo yako na kuweka kwenye simu mpya.

Vina uwezo wa kuwaelekeza sehemu ulipo mpaka mtaa na kadili wanavyokusogelea ndo kifaa kinazidi kuwaonyesha kuwa uko upande upi na hatu ngapi kutoka pale walipo.

Hii inasaidia pindi wanapokuwa wanaona kabsa kuwa uko walipo wao wanachokifanya ni kupiga simu huku wakiangalia atakayepokea na kukukatamata kama kuku.

Je kwanini Tanzania tusiwe na tecnolojia hiyo na kama ipo kwanini isitumiwe ili kuondoa uharifu?
Asanteni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu.
Mimi nilitarajia kuwa baada ya kusajiri laini zetu kwa alama za vidole basi wale wazee wa pesa hiyo itume kwa namba hii wangeisha ila imekuwa tofauti kabsa.
Watu bado wanatapeli na kutapeliwa .

Nchi za wenzetu wanavifaa ambavyo mtu akifanya uhalifu wowote kwa kutumia simu moja kwa moja wanamkamata bila kuchelewa maana wanavifaa ambavyo hata kama utatumia laini isiyo yako na kuweka kwenye simu mpya.

Vina uwezo wa kuwaelekeza sehemu ulipo mpaka mtaa na kadili wanavyokusogelea ndo kifaa kinazidi kuwaonyesha kuwa uko upande upi na hatu ngapi kutoka pale walipo.

Hii inasaidia pindi wanapokuwa wanaona kabsa kuwa uko walipo wao wanachokifanya ni kupiga simu huku wakiangalia atakayepokea na kukukatamata kama kuku.

Je kwanini Tanzania tusiwe na tecnolojia hiyo na kama ipo kwanini isitumiwe ili kuondoa uharifu?
Asanteni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi la polisi kitengo cha cyber crime vifaa hivyo na utaalamu huo wanao, lakini wako busy na mambo mengine yenye maslahi kwao. Kumbuka walivyo washika walo muua RPC Ballo. Raia wa kawaida hawana muda .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
 
Back
Top Bottom