Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 893
- 4,139
Kila anayesimama kutetea watanzania anafungwa na watanzania ila anayeiba anaongezewa cheo. Tumeona wale wote walioiba wakasifia watawala wanazidi kupewa nafasi nzuri ya kuiba na kula ila wale wote waliosimama kutetea wananchi wanyonge wasipofungwa basi watashinda kesi.
Tukiendelea na tawala zakufunga wenye haki na kuwapa uhuru wasio na haki tutanufaika sustainabily au tutanufaika kwa muda mfupi? Kwanini viongozi wetu wanalazimisha sana kubomoa amani?
Au kwa sababu wamejenga nje ya nchi ? Au kwa sababu akaunti za fedha wanazoiba wanapeleka abroad? Je, wataweza kuhamisha familia zote walizona na nasaba nazo?
Lakini tujiulize Kanisani na misikitini tunaenda kufanya nini? Kwanini tunaamini Mungu atatuacha tuendelee kustawi?
Tukiendelea na tawala zakufunga wenye haki na kuwapa uhuru wasio na haki tutanufaika sustainabily au tutanufaika kwa muda mfupi? Kwanini viongozi wetu wanalazimisha sana kubomoa amani?
Au kwa sababu wamejenga nje ya nchi ? Au kwa sababu akaunti za fedha wanazoiba wanapeleka abroad? Je, wataweza kuhamisha familia zote walizona na nasaba nazo?
Lakini tujiulize Kanisani na misikitini tunaenda kufanya nini? Kwanini tunaamini Mungu atatuacha tuendelee kustawi?