Kwanini sitapiga kura


Nimegundua kichwani haujui kitu kabisa kuundwa dola hakuwezi kufanyika bila kuchagua viongizi watakaounda serikali!!!



hivi ni kwwli hujui hata maana ya serikali(government) ni kitu gani??!!


pole sana mkuu
 
Also, people must demand for strong institutions. Strong institutions are never granted. They are demanded. Kuacha kupiga kura is tantamount to thinking that strong institutions will fall from the sky.
Institution like?
 
Nimegundua kichwani haujui kitu kabisa kuundwa dola hakuwezi kufanyika bila kuchagua viongizi watakaounda serikali!!!



hivi ni kwwli hujui hata maana ya serikali(government) ni kitu gani??!!


pole sana mkuu

Why should i involve myself in that process ?
 
Tatizo la Watz ni kuwa na tabia ya udont care..lzm ujali issue delicate km uchaguzi..unalalamika abt the govt wakati u hv the nafasi ya kuitengeneza mwnyw..usiboe
 

Kupigia kura MADHALIMU ni kusaidia UDHALIMU waache WAFU wakazike WAFUWAO.Kupiga kura au kuacha haipunguzi wala kuongeza chochote.
Kuibiwa rasilimali kukopalepale.
 
Tatizo la Watz ni kuwa na tabia ya udont care..lzm ujali issue delicate km uchaguzi..unalalamika abt the govt wakati u hv the nafasi ya kuitengeneza mwnyw..usiboe


Kwahio wanaopiga kura wote ni walalamikaji wa kuilalamikia serekali.je kama mtu hana malalamiko hanaulazima wa kukaa foleni?
 
Kwahio wanaopiga kura wote ni walalamikaji wa kuilalamikia serekali.je kama mtu hana malalamiko hanaulazima wa kukaa foleni?
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu
 
Mkuu kama hupigi kura si ungekaa kimya tu na lako moyoni!!!?. Usidanganye watu, siku zote anayekwenda kujinyonga huwa hasemi.

Mbona wanaenda kupiga kura hawakai kimya,hakuna anaemkataza mwenzie kupiga au kuacha na wala hakuna anaeweza kumlazimisha mwenzie kupiga au kuacha.
 
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu

Sio yeye tu.Tupowengi lakini hio haizuwii mtu kujieleza kwasababu amefikiri tofauti na mawazo yako.
 
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu

Sio yeye tu.Tupowengi lakini hio haizuwii mtu kujieleza eti kwasababu amefikiri tofauti na mawazo yako.
 
Ogopa sana kusema "tupo"wengi..mkumbo huo


Alichokifanya hapo ni kwamba ameniwahi tu, angechelewa kidogo angekuta nimeshatupia jamvini.
Hakuna mkumbo hapo,.
Iweje ukapige kura kumchagua mtu na kumtengenezea maslahi mtu ambae hakujui.na isitoshe huyohuyo ni mtu mwenye historia ya dhulma.

Hakuna mtu atakaekwambia kwamba UNAFATA MKUMBO endapo utadamka asubuhi kwenda kupanga foleni ya kumchagua mtu wako.
 

Sawa Ndugu
 
nikifikiria zile foleni,nguvu ya kwenda kujiandikisha na kupiga kura inaisha asee.....
 
Kupiga kura lazima uwe na akili timamu.. Sasa kwa hali hii utimamu wako una walakini, ni bora usipige kura kuliko kujaza foleni nakuharibu kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…