Habari wana JF !
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu muungano hivi karibuni.
wengine wanataka serekali moja,wengine wanataka serikali tatu na wengine wanataka uvunjwe kabisa.
Binafsi sitaki muungano uvunjike kwa sababu zifuatazo:
#1: Baba yangu ni Myeramba na Mama yangu ni Mpemba { Hii ni sababu Binafsi }.
muungano ukivunjika ntahitaji visa kumtembelea bibi yangu.
#2: Huwezi kuwa na nchi kilometa chache kutoka DAR ES SALAAM {sababu za kiusalama }.
Nadhani hii ndio sababu kubwa inayofanya TANGANYIKA kudumisha muungano kwa nguvu zote.
#3: Nataka kuoa binti wa kipemba { Hii ni sababu Binafsi }.
muungano ukivunjika mke wangu atakuwa mgeni hapa nchini.
Hizi ndio sababu zangu, naomba mnisahihishe kama nimekosea lakini msinitukane {Hasa wajomba zangu toka wete }
Shukrani.
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu muungano hivi karibuni.
wengine wanataka serekali moja,wengine wanataka serikali tatu na wengine wanataka uvunjwe kabisa.
Binafsi sitaki muungano uvunjike kwa sababu zifuatazo:
#1: Baba yangu ni Myeramba na Mama yangu ni Mpemba { Hii ni sababu Binafsi }.
muungano ukivunjika ntahitaji visa kumtembelea bibi yangu.
#2: Huwezi kuwa na nchi kilometa chache kutoka DAR ES SALAAM {sababu za kiusalama }.
Nadhani hii ndio sababu kubwa inayofanya TANGANYIKA kudumisha muungano kwa nguvu zote.
#3: Nataka kuoa binti wa kipemba { Hii ni sababu Binafsi }.
muungano ukivunjika mke wangu atakuwa mgeni hapa nchini.
Hizi ndio sababu zangu, naomba mnisahihishe kama nimekosea lakini msinitukane {Hasa wajomba zangu toka wete }
Shukrani.