Kwanini simwogopi Rais Magufuli

Kwanini simwogopi Rais Magufuli

Sisi waafrika hatutaendelea mpaka tujue thamani ya muda. Thamani ya muda ni tofauti na thamani ya watu.
Dunia haijawahi ishiwa wema na waovu, wajinga na werevu, wenye hekima na wapumbavu nyakati zote.

Mazoea ya kuvumilia shida ndo maana kila baada ya miaka mitano tunajaza viongozi wasio na dira kwa sababu ni watu tunawapenda. .

Viongozi hubadili mstakabali wa maisha ya wengi.

Kuishi kwenye kubahatisha miaka ni hatari.

Hii ya kusema tusiogope maana yake tumempa yeye nafasi ya kujiamulia wakati nchi ni yetu.

Yeye ndo anatakiwa aogope kukaa chini ya muda anaotamani na si sisi.

Tunatakiwa kuchagua. Ni wajibu wetu.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hofu isiyokuwa na msingi imetanda Kwa baadhi ya wananchi Kwa Sasa, wengi wamejawa na hofu hasa juu ya mustakabari Wa taifa letu.

Watu wengi hawaamini kama Rais atatoka madarakani.

Tuseme Mimi sio kiumbe cha ajabu niijuaye kesho ,lakin nina sababu hizi za kutomuogopa Rais bali namheshimu tu.

1. Umri wake ni zaidi ya miaka 60,na Kwa maisha ya binadamu Wa Dunia ya Sasa hata asipotoka madarakani, miaka 30 ijayo atakuwa amekwisha fariki au mzee sana asiyeweza kutawala.

2. Rais hana vizazi pandikizi,hapa naweka sawa, marais wengi wenye chembe za kutawala milele hua Wana watoto wao Wa damu wanao waandaa kuja kurithi endapo Israel atawaita, kwetu Hali sio hivyo,hawa wasaidiz wake hawana legitimacy ya kumrithi.

3. Aina ya siasa za Rais sio siasa za kudumu madarakani Kwa muda mrefu ,he is getting the business done na anaendelea na safari zake.

Note: Kwa wataalamu Wa linguistic, mtanielewa, ukisikiliza speech za Mhe Rais utaiona hofu kubwa ya kusalia madarakani ,utaona ni mtu ambaye hana mizizi ya kutawala kidictator. Hata kama akitaka kuwa Rais Wa milele hataweza Kwa Kua hana DNA hizo.

Kumbuka unaweza kupenda sana mpira Wa kikapu lakin usiweze kuucheza.

Mwisho kabisa, Rais ni melancole (hii ni Aina ya watu ambao wakielewa jambo hawaachii mpaka yesu arudi, liwe jema au baya).

Chukia diss na lalamika, Rais hatatawala beyond 2025.

Hana sifa za iron men kama Putin, Maduro, Museveni etc
Tuna Rais sahihi hata watu wakubali wakatae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi waafrika hatutaendelea mpaka tujue thamani ya muda. Thamani ya muda ni tofauti na thamani ya watu.
Dunia haijawahi ishiwa wema na waovu, wajinga na werevu, wenye hekima na wapumbavu nyakati zote.

Mazoea ya kuvumilia shida ndo maana kila baada ya miaka mitano tunajaza viongozi wasio na dira kwa sababu ni watu tunawapenda. .

Viongozi hubadili mstakabali wa maisha ya wengi.

Kuishi kwenye kubahatisha miaka ni hatari.

Hii ya kusema tusiogope maana yake tumempa yeye nafasi ya kujiamulia wakati nchi ni yetu.

Yeye ndo anatakiwa aogope kukaa chini ya muda anaotamani na si sisi.

Tunatakiwa kuchagua. Ni wajibu wetu.






Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu emeandika mambo ya msingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The issue is not being like Putin and the likes,he just a tyrant and he works hard to cease opposition as well as destroying our country's economy,Magufuli is not a good man we came into jinx to have such a dangerous man in power,the fate of Tanzania is doomed to collapse.

Sent using Jamii Forums mobile app
KHAAAAA PAMOJA NA KWAMBA KILIKUJA KWA MELI ILA SI KWA CHIJENGEREZA HICHI TUMIA LUGHA YA TAIFA NDUGU
 
Kuna hofu isiyokuwa na msingi imetanda Kwa baadhi ya wananchi Kwa Sasa, wengi wamejawa na hofu hasa juu ya mustakabari Wa taifa letu.

Watu wengi hawaamini kama Rais atatoka madarakani.

Tuseme Mimi sio kiumbe cha ajabu niijuaye kesho ,lakin nina sababu hizi za kutomuogopa Rais bali namheshimu tu.

1. Umri wake ni zaidi ya miaka 60,na Kwa maisha ya binadamu Wa Dunia ya Sasa hata asipotoka madarakani, miaka 30 ijayo atakuwa amekwisha fariki au mzee sana asiyeweza kutawala.

2. Rais hana vizazi pandikizi,hapa naweka sawa, marais wengi wenye chembe za kutawala milele hua Wana watoto wao Wa damu wanao waandaa kuja kurithi endapo Israel atawaita, kwetu Hali sio hivyo,hawa wasaidiz wake hawana legitimacy ya kumrithi.

3. Aina ya siasa za Rais sio siasa za kudumu madarakani Kwa muda mrefu ,he is getting the business done na anaendelea na safari zake.

Note: Kwa wataalamu Wa linguistic, mtanielewa, ukisikiliza speech za Mhe Rais utaiona hofu kubwa ya kusalia madarakani ,utaona ni mtu ambaye hana mizizi ya kutawala kidictator. Hata kama akitaka kuwa Rais Wa milele hataweza Kwa Kua hana DNA hizo.

Kumbuka unaweza kupenda sana mpira Wa kikapu lakin usiweze kuucheza.

Mwisho kabisa, Rais ni melancole (hii ni Aina ya watu ambao wakielewa jambo hawaachii mpaka yesu arudi, liwe jema au baya).

Chukia diss na lalamika, Rais hatatawala beyond 2025.

Hana sifa za iron men kama Putin, Maduro, Museveni etc
Nia ya kutawala zaidi ya 2025 hawezi kuwa nayo na hata kama atakuwa nayo bhac itaota mbawa pale 2025. Kwa kifupi angeweza kuendelea baada 2025 kama angekuwa nchi zingine huko duniani ila sio TZ.

Naamini wanao muogopa ni waovu, kama uko sahihi unaanzaje kumuogopa labda kwa mfano!!
 
Rais ni melancole.?kwa sifa zipi Alison azo. ?
 
Back
Top Bottom