kwa wakati ule simba ingemsajili ilikuwa ni kucheza kamari na hata huyu Awesu angeweza kupotelea benchi kwani kwa timu kama simba ingewezekana asipate nafasi ya kutosha kucheza . wapo wachezaji wengi wa madaraja ya chini na hata timu ndogo za ligi kuu ni mafundi kweli kweli lakini wapeleke simba au yanga utashangaa na wengine wakiachwa na hizi timu kubwa ndio nitolee kabisa. nafikiri kwa sasa baada ya kujenga jina na kuonyesha uwezo wake ndio wakati muafaka wa kwenda simba au yanga.