mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 640
- 495
gari bovu huvutwa na gari zima
kila mtu na sababu yake ila mm kama binti tena mbichi kabisa napenda nwanaume anizidi hata miaka 8 cos napenda olewa mapema nitulie hata kama wanasema ndoa ni mateso mi naamini ayo mateso yanawekwa na wanandoa wenyewe.Habari, wanajamii forum naomba tujadili hii mada ilipo mezani kwa wakati huu.
Kwamba,
Kwanini siku hizi vijana wengi wanadate na wanaume/wanawake walio wazidi umri?
Karibuni sana.