kwanini serikali inatunyanyapaa kimkopo?

Arnold Ndosi

Member
Aug 14, 2012
65
3
mimi ninashangaa sana serekali,eti inatoa kipaumbele kwa wa2 wanaochukua course za sayansi na edukeshen........! inamaana nch ye2 inahitaji hao wa2 2 ndo ienelee? kiufupi mimi naona ni utaahira...... nchi haiendelezw na walmu ,wandis na madaktar peke yake.chakushangaza,wandis wanao2jengea majumba makubwa na barabara ni wagen licha ya uwepo wa wandis kibao.walimu wanakimbia kaz zao punde baada ya kumuliza,sasa wanasapot nini?????????????????.mimi nilichagua edukeshen ktk vyuo vyote nilivyochagua lakini hawakunichagua,wamenichagua mascom.sasa waninyimwe mkopo wakat sina hatia........!!!!!!!!!!.serekali iachene na upuuzi kama huo na itoe msaada kwa wote.wenze2 hawajaendelea kwa namna hiyo,au mnasemaje wana jf??????????
 
mbona povu jingi..nani kasema umenyimwa mkopo mkuu!!!! mimi sio serikal lakini kwa walivyodai ni kwamba wao wanaupungufu wa hao watu(wahandisi,wanasayansi,waalimu) kwa hiyo wanawapa motisha ili watu waweze kusomea hizo fani kwa wingi....lakini ukicheki vizuri hiii yote ni kwamba nchi imefulia ndo maana wameamua kubase kwenye sekta hizo ila elewa hata kama program yako ni tofauti na hizo haimaanishi kwamba hutapata loan kuna kitu kinaitwa "by means of test" naiman unakitambua!!!! we kua tiar unaweza pewa au ikawa hivo tena.....
 
Back
Top Bottom