Kwanini Samsung hawashitaki watengenezaji wa Sumsang fake?

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,640
10,726
Kutwa utasikia sijui Samsung kamshitaki Apple kwa kuiba idea yao ya kamera mara umbo nk nk

Lakini kuna hizi kampuni zinatengeneza Samsung fake, kwanini hazikamatwi? Hata kama ni za uchochoroni vipi lakini si hatua ya kushindwa kutrace wapi zinatoka na kutengenezwa lazima kuna kiwanda tena kikubwa tu

Je wanaacha kwakuwa haiwaathiri kibiashara? Au hawana ubavu wa kuwazuia?
 
kwa sababu hakuna kitu ambacho kinaexist officialy si kiwanda wala wafanyakazi wake,kila kitu kipo kiujanja ujanja tu,
 
Huo ni mchezo wao mchafu wa kujitangazia biashara kupitia mahakama. hawezi kuzishtaki kampuni za vichochoroni zisizo na umaarufu wowote, kufanya hivyo ni kuzikuza kampuni hizo ndo maana anapamabana na Apple ile naye apate umaarufu kama wa Apple.
 
Viwanda vingi vya izo simu zipo china na china hawana izi mambo za patent rights stuff kwa makampuni ya nje i.e Chinese locals can copy anything from international companiewd
 
kwa sababu hakuna kitu ambacho kinaexist officialy si kiwanda wala wafanyakazi wake,kila kitu kipo kiujanja ujanja tu,

Yaani ile camera inatengenezwa ghetto kwa chief-mkwawa hafu screen kwa C6 bettery limeundwa hukoo kwa NingaR na ram procsr tunamuachia CYBERTEQ yaani kuwakamata wote balaa.. Wako scattered knm.
 
Last edited by a moderator:
[h=2]Kwanini Samsung hawashitaki watengenezaji wa Sumsang fake?[/h]Hapo utashtaki nini tena?
 
Sa atamshtaki vipi wakata hiyo ni jina tofauti na samsung wao utakuta ni singsung au samsang jina tofauti kabisa umburura wetu wa kutosoma ndo maana tunaingizwa mjibi.
Ingekuwa imeandikwa kabisa samsung hapo ndipo naona ingekuwa rahisi kuwashtak
 
[h=2]Kwanini Samsung hawashitaki watengenezaji wa Sumsang fake?[/h]Hapo utashtaki nini tena?

samsung walipoishtaki apple si kama apple walitumia jina lao, NO! Inasemekana technolojia walioitumia wameikopi/wameiba toka sumsang! So ishu sio jina tu!
 
samsung walipoishtaki apple si kama apple walitumia jina lao, NO! Inasemekana technolojia walioitumia wameikopi/wameiba toka sumsang! So ishu sio jina tu![/QUOTE
Je hao sungusungu wamekopi teknolojia ya samsung au design with huge alterations.
 
Hiyo ni kazi ya Shirika la viwango (Bureau of Standards). Bidhaa freki ni nyingi sio simu za Samsung tu. Kuna aina zingine kama nokia,blackberry, nk Na pia kuna bidhaa nyingine kama camera,tv,hi fi systems,home theatres,dvd players nk ambazo ni feki.Hapo hatujaongelea vipuri vya magari, komputa...... Kwa hiyo ni TBS wanaopaswa kutupa blanketi na kuingia kazini.
 
TBS nayo ni feck ndio maana hakuna anayechukua hatua, wakati mwingine wanasahau jina lao na kufikiri wao ni TBC



Hiyo ni kazi ya Shirika la viwango (Bureau of Standards). Bidhaa freki ni nyingi sio simu za Samsung tu. Kuna aina zingine kama nokia,blackberry, nk Na pia kuna bidhaa nyingine kama camera,tv,hi fi systems,home theatres,dvd players nk ambazo ni feki.Hapo hatujaongelea vipuri vya magari, komputa...... Kwa hiyo ni TBS wanaopaswa kutupa blanketi na kuingia kazini.
 
Back
Top Bottom