Habari wakuu,
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa haya mambo yanayoendelea sasa kutoka kwa bwana Polepole sielewi kwa sababu Polepole wewe ulikuwepo utawala wa JPM, kelele za watu kuuawa zilikuwepo, watu wengi walipotea, vyombo vya habari vilidhibitiwa, hatukusikia ukisema chochote. Waliishi kama malaika waliishi, walioshikama mashetani waliishi na kelele zilikuwepo lakini wewe ulikaa kimya kabisa kabisa.
Sasa inakuaje unaanza kueleza haya ya sasa, kuna nini nyuma yako?
Kama uchaguzi watu hata nyinyi mliiba na mkashinda nchi nzima, kitu amabacho hakikuwezekana kwingine isipokua kwenu tu. Na utawala wenu sikusikia ukipiga kelele wala kusema kitu. Sasa kuna nini hapo? Ebu tumble.
Lengo la msingi la kutoa siri za ndani halikua na wewe ulikua humo na hukusema. Au lengo kuu lako ni lipi? Kusema unatetea nchi hapo kutakua na mashaka kidogo kwani hata wewe ulikua kwenye mfumo. Hapa hakuna jipya.
EBU TUELEZE, tulimuamini kigogo kwa sababu hakua upande wetu, alikuwa upande wetu sisi wanyonge. Hebu nawe tupe sababu za kusema sasa na si awali ulipokuwa madarakani chamani.
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa haya mambo yanayoendelea sasa kutoka kwa bwana Polepole sielewi kwa sababu Polepole wewe ulikuwepo utawala wa JPM, kelele za watu kuuawa zilikuwepo, watu wengi walipotea, vyombo vya habari vilidhibitiwa, hatukusikia ukisema chochote. Waliishi kama malaika waliishi, walioshikama mashetani waliishi na kelele zilikuwepo lakini wewe ulikaa kimya kabisa kabisa.
Sasa inakuaje unaanza kueleza haya ya sasa, kuna nini nyuma yako?
Kama uchaguzi watu hata nyinyi mliiba na mkashinda nchi nzima, kitu amabacho hakikuwezekana kwingine isipokua kwenu tu. Na utawala wenu sikusikia ukipiga kelele wala kusema kitu. Sasa kuna nini hapo? Ebu tumble.
Lengo la msingi la kutoa siri za ndani halikua na wewe ulikua humo na hukusema. Au lengo kuu lako ni lipi? Kusema unatetea nchi hapo kutakua na mashaka kidogo kwani hata wewe ulikua kwenye mfumo. Hapa hakuna jipya.
EBU TUELEZE, tulimuamini kigogo kwa sababu hakua upande wetu, alikuwa upande wetu sisi wanyonge. Hebu nawe tupe sababu za kusema sasa na si awali ulipokuwa madarakani chamani.