Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Na iwe basi hata ikiwekwa kwa mtu binafsi mchezaji atakuwa mali ya timu.
Haulazimishwi kutoa Pesa yako kuisaidia timu hayo ni mapenzi yako,lakini ukisha mnunua ni Mali ya timu kama unataka iwe Mali yako tafuta timu yako
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Hivi wewe manara si ulishaambiwa ukiachwa achika? kwani fedha za kuwanunua ulihoji zimetoka kwenye akaunti ya nani?
 
Hata kama account ya Mo ndio inayotoa pesa za usajili,wana Simba wana haki ya kuuliza kinachoingia,wana haki ya kujua mapato na matumizi ni muhimu.
Hiyo Ni Kama unawapigia mbuzi gitaa, hawatakaa wakuelewe Sana Sana utaambulia mitusi tu.
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Umeona wapi wewe uto?
 
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Wewe umechangia sh ngapi Simba!?
 
Back
Top Bottom