Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,269
- 14,093
Na iwe basi hata ikiwekwa kwa mtu binafsi mchezaji atakuwa mali ya timu.Hata ikitoka kwa mtu binafsi Mchezaji atakua ni Mali ya timu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Na iwe basi hata ikiwekwa kwa mtu binafsi mchezaji atakuwa mali ya timu.Hata ikitoka kwa mtu binafsi Mchezaji atakua ni Mali ya timu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Haulazimishwi kutoa Pesa yako kuisaidia timu hayo ni mapenzi yako,lakini ukisha mnunua ni Mali ya timu kama unataka iwe Mali yako tafuta timu yakoNa iwe basi hata ikiwekwa kwa mtu binafsi mchezaji atakuwa mali ya timu.
Hivi wewe manara si ulishaambiwa ukiachwa achika? kwani fedha za kuwanunua ulihoji zimetoka kwenye akaunti ya nani?Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Alisikika masikini mmoja akimlalamikia tajiriHaulazimishwi kutoa Pesa yako kuisaidia timu hayo ni mapenzi yako,lakini ukisha mnunua ni Mali ya timu kama unataka iwe Mali yako tafuta timu yako
Hiyo Ni Kama unawapigia mbuzi gitaa, hawatakaa wakuelewe Sana Sana utaambulia mitusi tu.Hata kama account ya Mo ndio inayotoa pesa za usajili,wana Simba wana haki ya kuuliza kinachoingia,wana haki ya kujua mapato na matumizi ni muhimu.
Basi kanjibai ataendelea kula vya hawa wajinga mpk waharishe damuHiyo Ni Kama unawapigia mbuzi gitaa, hawatakaa wakuelewe Sana Sana utaambulia mitusi tu.
Umeona wapi wewe uto?Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Nenda kwamwabie aachane na Simba na amiliki timu yake.Haulazimishwi kutoa Pesa yako kuisaidia timu hayo ni mapenzi yako,lakini ukisha mnunua ni Mali ya timu kama unataka iwe Mali yako tafuta timu yako
Wewe umechangia sh ngapi Simba!?Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji