Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

utah jazz

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,817
3,978
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.

Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.

TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.

Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
 
Wewe ni muhasibu wa simba? Duniani malipo mengi ya ada za usajili yanafanyika kisheria kwa installments. Barcelona ni mufulisi wanadaiwa na timu mbalimbali zaidi ya euro 800m kama ada kutokana na usajili wa miaka ya nyuma, na wengi wa hao wachezaji walisha staafu na kuhama timu Coutinho, dembele, nk.

Kuna mchezaji emiliano sala alisajiliwa na cardif kwa paund 18m kabla hata hajafanya mazoezi na cardif wiki hiyo hiyo alipata ajali ya ndege akitokea ufaransa akafa na cardif walikuwa hawajalipa hata senti ila mkataba uliwabana walipe deni la kumsajili marehemu. Kuna paperwork na money transfer
 
Back
Top Bottom