Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni kwamba pesa za wachezaji wa simba waliouzwa pesa zimeyeyuka wanaocheza na hii dili ni huyu tapeli anayejiita mwekezaji pamoja na try again.
TAKUKURU mpo wapi timu yetu inachezewa na Hawa wahuni nyie mmekaa kimya? mchukueni tupumue jamani ametuibia ataifilisi klabu akimbie nje ya nchi huyu mtu ni hatari kuendelea kukaa simba.
Tunataarfa nyingi za ubadhirifu wa pesa za klabu tukianza na hii ya pesa za mauzo ya wachezaji kupotezwa na matapeli wanaojiita wawekezaji