Fuatiliaah huenda labda kuna spray special mkuu,hatuifahamu.ila itakuwa labda ndiyo inafaa na ni bora pia inafanya nguo kabla ya kuuzwa zisiharibike ndio mana nguo zote mitumba zinanuka saw,mi sijathibitisha bado kama ni kweli mitumba yote ina harufu saw ngoja nifatlie.
sawa mkuu.Fuatilia
Ile ni dawa mdau yakuuwa bacteria ila haisadii sana hakuna watu wenye magonjwa ya ngozi kama wazungu nanii na huwa yanaambukiza na baadhi ya hizo nguo au viatu unakuta ni vya marehemu na ndio maana tunashauriwa tukizinunua tuzifue na kuanika kwenye jua kali pamoja na kupiga pasi kabla ya kuzivaa wewe unafikiri kwa nini serikali ilipiga marufuku nguo za ndani za mtumba yale maradhi yao yakikupata utajuta nguo umenunua sh elfu mbili ugonjwa utautibu kwa laki mbiliHeri wakuu?
-Kwanini nguo zote za mitumba duniani zina harufu inayofanana?
-Ni spray gani inayofanya hiyo mitumba iwe na harufu moja?
Nataka kujua hiyo spray.
ah huenda labda kuna spray special mkuu,hatuifahamu.ila itakuwa labda ndiyo inafaa na ni bora pia inafanya nguo kabla ya kuuzwa zisiharibike ndio mana nguo zote mitumba zinanuka saw,mi sijathibitisha bado kama ni kweli mitumba yote ina harufu saw ngoja nifatlie.
Hiyo hiyo dawa uliyosema wewe nataka ifahamike.Ile ni dawa mdau yakuuwa bacteria ila haisadii sana hakuna watu wenye magonjwa ya ngozi kama wazungu nanii na huwa yanaambukiza na baadhi ya hizo nguo au viatu unakuta ni vya marehemu na ndio maana tunashauriwa tukizinunua tuzifue na kuanika kwenye jua kali pamoja na kupiga pasi kabla ya kuzivaa wewe unafikiri kwa nini serikali ilipiga marufuku nguo za ndani za mtumba yale maradhi yao yakikupata utajuta nguo umenunua sh elfu mbili ugonjwa utautibu kwa laki mbili
Kwasababu hazina harufu tofauti.......Heri wakuu?
-Kwanini nguo zote za mitumba duniani zina harufu inayofanana?
-Ni spray gani inayofanya hiyo mitumba iwe na harufu moja?
Nataka kujua hiyo spray.