juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.
Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.
Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.
Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?