Kwanini napenda sana kufanya mapenzi?

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Mimi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.

Na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.

Waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
 
Hapa nipo serious na wala sitaki utani wala matusi na majibu ya hovyo.mi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Mkuu kupenda kusex ni kutegemea na aina ya vyakula unavyokula. Ukitumia vyakula vyenye proteins kama maharage na kamanda, zaidi tegemea matokeo kama hayo, pia unavyojiweka mawazo yako zaidi muda wote unawaza ngono ni lazima uhitaji hiyo kitu kila cku
 
Ni ulevi kama ulevi mwingine wowote. Kila jambo kwa kiasi!
 
Hapa nipo serious na wala sitaki utani wala matusi na majibu ya hovyo.mi mwenzenu sijui nina tatizo gani,yaaani napenda sana kufanya mapenzi,kwa wiki nafanya hata mara 5/4.na nikilala na mwanamke huwa kesho yake lazima alalamike eti napanda kila mara.waungwana ambao ni wataalamu niambieni hii kitu kupenda kusex inatokana na nini?
Huna stress wala majukumu na unakula vizuri na changamoto kwako no ndoto za kufikirika
 
Back
Top Bottom