Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,550
- 491
[h=3]Tanzania[/h] Petra agreed to acquire the Williamson Mine in Tanzania in September 2008 from De Beers.[SUP][10][/SUP] The Williamson mine, which began production in 1940, has a reputation for the production of large, high value diamonds, with special stones (classified as larger than 10.8 carats (2.2 g)) produced regularly. The mine is also famed for its pink diamonds. In 1947, the mine's founder Dr. John Williamson presented Princess Elizabeth (later Elizabeth II) with a flawless 54-carat (11 g) pink diamond (the Williamson Pink Diamond) on her wedding day. The eventual 23.6-carat (4.7 g) cut diamond became the centre stone in the Williamson Diamond brooch and is supposedly the basis for the Pink Panther diamond in the film of the same name.
The Williamson Mine is currently thought to have a resource of 40,000,000 carats (8,000 kg) (995 million tonnes of kimberlite). It has a maximum mining depth of 205 metres and a very low stripping ratio. Energy and Minerals Minister William Ngeleja said Petra's entry is "an opportunity to breathe new life into Williamson Mine and Tanzania's diamond mining sector."
Mkuu labda nikuulize wewe nani mmiliki wa Mgodi wa Almasi kule Mwadui Shinyanga?
Tabia ya viongozi kuficha Fedha walizokwapua ilianza Mwaka 1970 na Tafiti ya kimataifa ya masuala ya wizi wa kimamlaka imeonesha Awamu ya Nne inaongoza ikifuatiwa na awamu ya 3 then awamu ya kwanza lakini kuna Tumbili wanaamini wizi ulianzia awamu ya pili! Awamu ya kwanza ingekuwa na uwazi kama ulikuwepo kuanzia awamu ya pili tungejua mengi hata hivi sasa tungekuwa na RTD, mzalendo na uhuru pekee tungeomba mchakato wa kumtangaza Jakaya mwenye heri uanze sasa tunadanganywa elimu ilikuwa bure lakini wilaya nzima wanafaulu shule ya msingi watoto wawili, na kama elimu ilikuwa bwerere uhaba wa sasa wa wataalam kwenye kila tasnia umeanzia alipong'atuka?
wewe siyo raia wa Tz kama kinana na sheh ponda .... haya hayakuhusu
Kuendesha mgodi siyo sawasawa na biashara ya machinga au fremu ya duka kama ilivyozoeleka nchini.Nilisikitika Ngeleja aliposema mgodi unajiendesha kwa hasara! CCM wezi wakubwa.
Nyerere angekuwa hai wa kwanza kumfungulia mashtaka ningekuwa mimi alitutesa saana huyu kuanzia Elimu katunyima kabisa elimu huyu katupotezea fursa nyingi kiuchumi leo Kenya kutuacha mbali ni makosa ya huyu mzee alituvalisha tairi za gari chai tukaweka peremende nyeupe badala ya sukari viwanda alijenga havikuzalisha hata siku mmoja watu tukaishia kuvaa kaniki wakati viwanda vya Textile alijenga vikafika vitano kuna kiwanda alijenga shinyanga mpaka leo hakijafunguliwa Tanzania meat pakers
Hujui chochote naona umekurupuka kujibu kitu amabacho hujui. Mwaka 1940 ndio wamegundua kuwa Mwadui kuna almasi ulivyokuwa mpuuzi unadhani mgodi ndio umeanza kazi huo mwaka 1940.
Mgodi wa Mwadui umeanza kazi mwaka 1960...ulivyokuwa kauzu ebu jiulize wakati mgodi unafanya kazi Nyerere alikuwa nani.
Hujui chochote naona umekurupuka kujibu kitu amabacho hujui. Mwaka 1940 ndio wamegundua kuwa Mwadui kuna almasi ulivyokuwa mpuuzi unadhani mgodi ndio umeanza kazi huo mwaka 1940.
Mgodi wa Mwadui umeanza kazi mwaka 1960...ulivyokuwa kauzu ebu jiulize wakati mgodi unafanya kazi Nyerere alikuwa nani.