Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,547
- 491
humu JF kuna wengi wetu tunapenda kubeza ikiwa mtu ameleta mada inayohusu kitu muhimu
eti hii sio issue Nyerere alikuwa na makosa kama mtu yoyote yule kwanini tumlinde kama malaika? kwenye ukweli tukubali ndio demokrasia sio kila kitu tupinge,
Nyerere alifanya mambo mengi mazuri na mabaya kwenye nchi hii tokea vijiji vya ujamaa na azimio la Arusha mote amefanya makosa ingawa lengo lilikuwa zuri lakini mipango ilikuwa mibaya
Najuwa watu watapinga kila baya alilofanya Nyerere
Nachangia
eti hii sio issue Nyerere alikuwa na makosa kama mtu yoyote yule kwanini tumlinde kama malaika? kwenye ukweli tukubali ndio demokrasia sio kila kitu tupinge,
Nyerere alifanya mambo mengi mazuri na mabaya kwenye nchi hii tokea vijiji vya ujamaa na azimio la Arusha mote amefanya makosa ingawa lengo lilikuwa zuri lakini mipango ilikuwa mibaya
Najuwa watu watapinga kila baya alilofanya Nyerere
Nachangia