Kwanini mwenye kutaka nafasi tena awe mwanamke?

Kwanini mwenye kutaka nafasi tena awe mwanamke?

Technian Tanga

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
411
Reaction score
200
Mahusiano yanapovunjika imekuwa ni mara chache mwanaume kumfata mwanamke wawe pamoja labda tu awe amezaa nae na anamfata kwa nia ya kutaka arudi kulea watoto.

Lakini haya mambo ya uchumba ikitokea wamemwagana yani hata mwanamke awe ndo ametema muda ukienda atarudi tu na kuomba msamaha hii ni kwanini?
 
mwanaume ameumbwa dominant ndio maana inachnagia au inakuwa hivyo...nature ya uumbaji
 
Mmh inategemea kwa kweli sio kila mwanamke..na pia inategemea na kosa kuna mengine hayahitaji hata ukaribu wa kupeana salam
 
aisee inategemea aisee wengine neno "naomba msamaha" lipo maili ishiri kutoka kwenye kumbu kumbu zangu.. na likitoka namaanisha kweli nimekosa
 
aisee inategemea aisee wengine neno "naomba msamaha" lipo maili ishiri kutoka kwenye kumbu kumbu zangu.. na likitoka namaanisha kweli nimekosa
Jitaidi kulifanya neno rafiki tena rafiki sana maana lina sukari ukiwa nalo na pilipili likiwa karibu.... Mie hadi wanangu wadogo wameniiga maana hata nikiwakwaza nawaomba samahani kiasi nao pia wakikwazana au kunikwaza lazima waombe msamaha na sheria lazima mwenye kuombwa akubali....Nadhani utaratibu huu utawapa kitu fulani ukubwani.
 
Jitaidi kulifanya neno rafiki tena rafiki sana maana lina sukari ukiwa nalo na pilipili likiwa karibu.... Mie hadi wanangu wadogo wameniiga maana hata nikiwakwaza nawaomba samahani kiasi nao pia wakikwazana au kunikwaza lazima waombe msamaha na sheria lazima mwenye kuombwa akubali....Nadhani utaratibu huu utawapa kitu fulani ukubwani.
nitafanyia kazi mkuu
 
Back
Top Bottom