Kwanini Mungu alituumbia akili?

Kwanini Mungu alituumbia akili?

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,096
Reaction score
4,758
Wakuu natumai mko poa kabisa.

Swali hili najiuliza kila siku, kama Mungu anataka tufanye yale anayotaka yeye kwanini alituumba na akili? si alikua ana uwezo wa kutuumba tumumfate automatic.

Swali lingine ni kwanini alituumba bila makubaliano, yaani hakushirikishi kwene uumbaji wako, unajikuta tu uko duniani bila wewe mwenyewe kuridhia yaani hujamuomba akuumbe.

Nna maswali mengi huwa najiuliza, mengine ntayashusha kutokana na mjadala utavoenda, tuanze na hayo tu.

Ameni
 
Ndio alivyotaka. ni kama wewe..unavyotengeza.gari ya udongo!
 
Sasa utakubaliana nae vipi ama akuumbe au asikuumbe wakati haupo? Kabla hajakuumba maana yake haupo. Ili uanze kuwepo Ni lazima uumbwe kwanza. Huwezi kujadiliana nae wakati haupo!!!
 
Back
Top Bottom