Alishindwa kuelewana na owner wa Club hasa kwenye mambo yafuatayo:-
- Alishindwa kuweka intertaining football - alisema huwezi ku implement intertaining football ukiwa na wachezaji kama Essien, Lampard na wakati huo Ballack akitoa sababu eti hao ni pysical players yaani usitegemee kupata omlet nzuri wakati una mayai mabovu. Kauli hii ndiyo ilimtoa straight forwad siku ile wachezaji wakiangalia sinema ya blues revolution huku kocha wao akitimuliwa usiku huo huo.
- Aliifanya Chelsea kutopendwa - ikawa inaitwa Boring chelsea. hii ni matokeo yake ya kucheza mpira usiovutia
- Alishindwa kupata best combination from players
- Alijiona yeye ni juu zaidi na hawezi kuwa replaced.
Mpira unaotakiwa sasa duniani ni mpira wa Kasi, pass fupi fupi na ambao unafurahisha - hakuna owner wa club anayependa kuona mpira wa kukimbizana, pass ndefu na ushindi - NO.
Angalia timu kama Barca na Arsenal hasa ndiyo vinara wa mpira huo. na jaribu kufuatilia mpira wa Madrid ya Morinho uone tofauti ya uchezaji wake tangu aanze kuifundisha.
Kifupi Jose M ni kocha mshindi tu kwa njia yoyote lakini kama unataka future ya Club usimpe kazi, Club si ushindi tu kuna mambo mengi.