Wananchi wengi wa Arusha wamekataa kupokea siasa ambazo zinahamasisha kujenga makundi yaliyohasimiana kutokana na itikadi za vyama, badala yake sasa wanataka kujenga Arusha moja wamesema kamwe hawatashiriki maandamano yoyote, alisema mkazi wa Arusha John Ole Telele wa kata ya Kimandolu, na Pete Saibuli wa kata ya Elerai, walikuwa wamejiinamia kwenye Viwanja vya Unga Limited huku wakilia kwa uchungu