Neylu JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 2,938 Reaction score 1,847 Jun 13, 2014 #81 Mungu anajibu kwa wakati... Miaka 28 hujachelewa mdogo wangu..Wala huna haja ya kuanza kupanic..! Endelea kumuomba Mungu..Naamini iko siku atajibu maombi yako na utapata mke mwema..Kila la kheri.
Mungu anajibu kwa wakati... Miaka 28 hujachelewa mdogo wangu..Wala huna haja ya kuanza kupanic..! Endelea kumuomba Mungu..Naamini iko siku atajibu maombi yako na utapata mke mwema..Kila la kheri.
A ashuu6 Senior Member Joined May 10, 2014 Posts 132 Reaction score 52 Jun 13, 2014 #82 Mimi kupm ndo cjui!!
Vaislay JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,532 Reaction score 1,840 Jun 13, 2014 #83 DEMBA said: tunaenda wote....habaki mtu nyumban Click to expand... naomba apitie kamzigo hapa...
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,623 Jun 13, 2014 #84 mdesi said: mi si wahuko, hujui maana za maneno zinatofautiana? kwn wote humu jf ni huko? Click to expand... Hata mimi najua ndio maana nimejizungumzia MIMI
mdesi said: mi si wahuko, hujui maana za maneno zinatofautiana? kwn wote humu jf ni huko? Click to expand... Hata mimi najua ndio maana nimejizungumzia MIMI
Vaislay JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,532 Reaction score 1,840 Jun 13, 2014 #85 Man Ngosha said: kweli mi msukuma , nataman sana nimpate wangu Click to expand... kama unaweza ukanilisha,ukanivisha,na kila kitu muhimu njooo....Mwonekano wako kuzingatiwa
Man Ngosha said: kweli mi msukuma , nataman sana nimpate wangu Click to expand... kama unaweza ukanilisha,ukanivisha,na kila kitu muhimu njooo....Mwonekano wako kuzingatiwa
Man Ngosha JF-Expert Member Joined May 2, 2012 Posts 219 Reaction score 69 Jun 13, 2014 Thread starter #86 Asante neylu
Mr Eggo JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 2,028 Reaction score 1,051 Jun 13, 2014 #87 Muda ukifika utampata...embu sa iz endelea kuhangaika maana jinsia iyo imetuzd idad
Mwana JF-Expert Member Joined Aug 6, 2010 Posts 5,435 Reaction score 1,967 Jun 14, 2014 #88 Man Ngosha said: 28 sasa! Click to expand... Sidhani kama ni Umri wa kuwa na wasiwasi hivyo, zidi muomb Mungu utampata.
Man Ngosha said: 28 sasa! Click to expand... Sidhani kama ni Umri wa kuwa na wasiwasi hivyo, zidi muomb Mungu utampata.