Kila nchi Ina michezo yao ya asili au ilizoiga kutoka sehemu zingine duniani
Kuna nchi hatujui kucheza cricket
na wengine wanacheza Bowl wakati sisi tukiletewa tutasema mchezo wa wazee
Sababu eti vijana watapata ajira sasa kama ni mpiganaji kwanini asipiganie Dar? Maana ni nyumbani pia
Ila kuhusu marufuku ya Marehemu yeye alifuata Dini zaidi maana inakatazwa kumpiga mtu kichwani maana kuna madhara zaidi na kiujumla kupigana sio vizuri
Kuna michezo mingi sana duniani mbona tunashindwa kushiriki duniani ?