KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kinachoonekana kwa sasa CCM nivikumbo kama mtu anavyokuwa anapita kwenye msongamano wawatu wengi akiwa ameitwa mbele jinsi anavyokuwa anapangua watu ili akaitike wito!!Mzee mengi Kauli yake ya jana ina usiri mkubwa sana!Makundi ya kuwania kiti cha urais 2015 yalianza kipindi cha uchaguzi 2010!Haya tunayoyaona ya UVCCM ninyuma yapazia Aiwezekani Katibu Mkuu Wa CCM asiseme kitu!Nakataa au hata Mwenyekitikuita kikao cha dharula!!Kuna Jambo zito UVCCM haiwezi kuwa na uthubutu wakumsema Waziri Mkuu Mstaafu,Halafu Katibu Mkuu Wa CCM akakaa Kimya,Mkamo mwenyekiti Naye akakaa kimya kama simwenyekiti kutoa kalipio kali kwa UVCCM!!Leo UVCCM wamekuwa na meno yakung'ata aliyewafuga!!Je UVCCM wanapewa nanani kiburi??Wanafanya kwa maslahi ya nani ili awe rais 2015??