Mkuu huoni hata haya? Katika kuanzisha majiji hawaangalii kuna hiyo unayoita mikokoteni au msangamano wa hayo magari.
Kuna vigezo na taratibu zinazotumika kuanzisha au kupandisha hadhi za mamlaka ya serikali za mitaa. Mfano vigezo vya kuanzisha jiji ni kama:
1. Idadi ya watu wasiopungua laki 5. 2. Uwezo wa kujitegemea kwa 95% kutokana na mapato yake ya ndani. 3. Na sifa nyingine, kama, kuwapo na makao makuu ya mkoa, maeneo ya utalii na kihistoria, kumbi za mikutano n.k.
Ili kuepuka aibu soma hapa:
http://www.pmoralg.go.tz/informatio...a-za-Serikali-za-Mitaa-na-Historia-ya-MSM.pdf