Kwanini Mbeya ni jiji?


Mbeya na Mwanza au Arusha ni sawa?
 
swali la kujiuliza,
wakati dar inapata hadhi ya jiji ilikuwa inafananaje?
mji ulikuwaje?
watu wangapi?
na je foleni zilikuwepo?
 
tatizo ni mikokoteni ama mbeya kua jiji... tafta sifa zinazopelekea mji kua jiji na sio hizo za mikokoteni
 
kwani issue ni nini? kusema Mbeya kuna mikokoteni mingi?
Nasema nilichokisikia...
Na nimeandika as i heard!!
Mkuu huoni hata haya? Katika kuanzisha majiji hawaangalii kuna hiyo unayoita mikokoteni au msangamano wa hayo magari.
Kuna vigezo na taratibu zinazotumika kuanzisha au kupandisha hadhi za mamlaka ya serikali za mitaa. Mfano vigezo vya kuanzisha jiji ni kama:
1. Idadi ya watu wasiopungua laki 5. 2. Uwezo wa kujitegemea kwa 95% kutokana na mapato yake ya ndani. 3. Na sifa nyingine, kama, kuwapo na makao makuu ya mkoa, maeneo ya utalii na kihistoria, kumbi za mikutano n.k.
Ili kuepuka aibu soma hapa: http://www.pmoralg.go.tz/informatio...a-za-Serikali-za-Mitaa-na-Historia-ya-MSM.pdf
 
mbeya haina utofauti na Moshi ila nashangaa yenyewe umeoasishwa kuwa jiji sijui kwa vigezo gani?
 

so issue yakuriport mikokoteni kama ni tatizo barabarani we unaichukulia kama ni poa tu? kwa mji wenye hadhi ya Jiji.
 
mbeya haina utofauti na Moshi ila nashangaa yenyewe umeoasishwa kuwa jiji sijui kwa vigezo gani?

Moshi waendesha mikokoteni hawana impact yakupelekea kuripotiwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…