Zemanda JF-Expert Member Jan 10, 2021 6,915 14,517 Jan 8, 2024 #21 Sexless said: Kuna mwanamke askari huko Arusha aliyekodi majambazi kumuua mumewe ili aendelee kusagana. Mm nadhani tatizo kubwa ni hizi NDOA mnazolazimisha kuzifunga ktk zama hizi ambazo ni za "utandauchi". Kwann mnaingia kwenye ndao?? Kataa ndoa uepuke kifo Click to expand... Ndoa sio sababu na ni uzembe kudhania ndoa ndio inasababisha watu kuuana kwani mtu hawezi kutoroka na kuanza maisha pahala kwengine? Shida ni changamoto za akili watu wanarundika sana mambo vichwani na muda mwingine unakuta shida alikuwa nayo hata kabla ya ndoa.
Sexless said: Kuna mwanamke askari huko Arusha aliyekodi majambazi kumuua mumewe ili aendelee kusagana. Mm nadhani tatizo kubwa ni hizi NDOA mnazolazimisha kuzifunga ktk zama hizi ambazo ni za "utandauchi". Kwann mnaingia kwenye ndao?? Kataa ndoa uepuke kifo Click to expand... Ndoa sio sababu na ni uzembe kudhania ndoa ndio inasababisha watu kuuana kwani mtu hawezi kutoroka na kuanza maisha pahala kwengine? Shida ni changamoto za akili watu wanarundika sana mambo vichwani na muda mwingine unakuta shida alikuwa nayo hata kabla ya ndoa.
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 121,304 145,172 Jan 8, 2024 #22 Inasikitisha sana... Cc: Antonnia
THE BIG SHOW JF-Expert Member Feb 28, 2012 16,376 12,924 Jan 8, 2024 #23 chuma cha mjerumani said: haipendezi kusikia watu wanatamka hadharani kwamba hakuna serikali kuna jamaa alicomment mahali kwamba Tz hatuna rais. sijui alikuwa anafikiria nini. Click to expand... Hata Jiwe hawakumpenda,sembuse Samia?
chuma cha mjerumani said: haipendezi kusikia watu wanatamka hadharani kwamba hakuna serikali kuna jamaa alicomment mahali kwamba Tz hatuna rais. sijui alikuwa anafikiria nini. Click to expand... Hata Jiwe hawakumpenda,sembuse Samia?