mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Habari zaenu
Kwa kipindi kirefu Mwanaharakati wa Mitandaoni na kada wa zamani wa CCM Mange kimambi amekuwa akimuandama sana Mwanamuziki Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz na Mama watoto wake Zarina Hassan
Mange kimambi amekuwa akimponda hata kumtukana kwenye mitandao Diamond, pia amekuwa anachukizwa na mafanikio ya Platnumz kila kukicha
Mange pia hakuishia tu kwa Diamond bali aliingia ndani zaidi hadi kufikia kuichokonoa familia ya Platnumz kwa kitendo cha kuanika mahusiano ya kimapenzi ya mama yake diamond Bi Sandra na mwanaume mmoja mkazi Wa dar es salaam
~Je mange ana chuki za mapenzi?
~Akishawahi kumtaka platnumz akakataliwa?
~Anaugomvi na Zari?
Kwa kipindi kirefu Mwanaharakati wa Mitandaoni na kada wa zamani wa CCM Mange kimambi amekuwa akimuandama sana Mwanamuziki Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz na Mama watoto wake Zarina Hassan
Mange kimambi amekuwa akimponda hata kumtukana kwenye mitandao Diamond, pia amekuwa anachukizwa na mafanikio ya Platnumz kila kukicha
Mange pia hakuishia tu kwa Diamond bali aliingia ndani zaidi hadi kufikia kuichokonoa familia ya Platnumz kwa kitendo cha kuanika mahusiano ya kimapenzi ya mama yake diamond Bi Sandra na mwanaume mmoja mkazi Wa dar es salaam
~Je mange ana chuki za mapenzi?
~Akishawahi kumtaka platnumz akakataliwa?
~Anaugomvi na Zari?