GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,772
- 109,228
Miezi ya June hadi September huwa hakuna Vimwana / Totooz kabisa ila miezi ya October hadi December na March hadi May huwa wanakuwepo wengi na hadi wengine wanaweza hata ' Kukukopa ' Mkuyenge na ukawapelekea Pesa yao Siku zikikutembelea kidogo au ukizipata.
Halafu ni kwanini hata ' reasoning capacity ' ya ' Makahaba ' wengi wa ' Kimboka ' huwa ni ya juu sana kuliko wa maeneo mengine? Tumezoea ' Makahaba ' wengi ni Watu wa Kupelekwa pelekwa tu na Wateja wao tukuka ( ila siyo GENTAMYCINE ) lakini wa ' Kimboka ' kabla hata hujaanza Kuongea nae inabidi uzipange vyema ' Hoja ' zako.
Na hata Kiingereza chao si cha kwa Ras Simba Mwenge bali ni kile kile cha Malkia wa Uingereza mwenyewe!
Nawasilisha.
Halafu ni kwanini hata ' reasoning capacity ' ya ' Makahaba ' wengi wa ' Kimboka ' huwa ni ya juu sana kuliko wa maeneo mengine? Tumezoea ' Makahaba ' wengi ni Watu wa Kupelekwa pelekwa tu na Wateja wao tukuka ( ila siyo GENTAMYCINE ) lakini wa ' Kimboka ' kabla hata hujaanza Kuongea nae inabidi uzipange vyema ' Hoja ' zako.
Na hata Kiingereza chao si cha kwa Ras Simba Mwenge bali ni kile kile cha Malkia wa Uingereza mwenyewe!
Nawasilisha.