Kwanini maiti ichunguzwe?

Kwanini maiti ichunguzwe?

Davmak

New Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Inakuaje uchunguzi ufanyike kwa marehemu? Na akiwa na hatia nani awajibishwe?
 
Davmak! Umeuliza swala zuri sn, kwa kawaida uchunguzi unaofanyika kwa marehemu haulengi kwa kupatikana wa kuadhibiwa tu, lkn kwa kanuni za kiuchunguzi, km itabainika kwamba marehemu alikua na hatia ni lazima idara husika ianze kazi yke, may be ni mtandao mkubwa bali yeye marehemu kwa bahati mbaya tu ndie alifanikiwa kujitoa muhanga, tukubali ya kwamba katika matukio mengi hasa ya kijinai, kunakuwepo na mlolongo mkubwa wa wahusika, wakati ambapo mmoja au wawili hua km kielelezo tu, hivyo basi upo umuhimu mkubwa kwa marehemu kufanyiwa uchunguzi
 
Back
Top Bottom