kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Najiuliza sipati jibu kwanini rais aliamuru bilioni 500 za mzunguko ziondolewe na B.O.T?
Zile pesa zilisaidia mzunguko wa pesa kuwa mzuri leo pesa hatuioni mtaani
Kwanini achukue fedha za mzunguko akanunulie ndege aache watu wakiwa na hali ngumu hivi?
Kwanini mtu mmoja tu asababishe mamilioni ya watanzania waishi kwa dhiki kiasi hiki
Vibarua hamna pesa haionekani
Maduka siku hizi wenye maduka mtakua mashahidi hamna mauzo kabisa yaani mtu anaona bora afungue saa 1 mpaka saa 3 halafu. atafunga siku nzjma jioni ndo atafungua biashara tena.
Namuwazia huyu mtu simpatii jibu dhamira yake ninini?
Mungu ni mwema sana nimeshajua moyo wake ukoje
Bado swali ni lile lile dhamira yake ninini alivyoondoa hela,za mzunguko zote?
Nawasilisha
Zile pesa zilisaidia mzunguko wa pesa kuwa mzuri leo pesa hatuioni mtaani
Kwanini achukue fedha za mzunguko akanunulie ndege aache watu wakiwa na hali ngumu hivi?
Kwanini mtu mmoja tu asababishe mamilioni ya watanzania waishi kwa dhiki kiasi hiki
Vibarua hamna pesa haionekani
Maduka siku hizi wenye maduka mtakua mashahidi hamna mauzo kabisa yaani mtu anaona bora afungue saa 1 mpaka saa 3 halafu. atafunga siku nzjma jioni ndo atafungua biashara tena.
Namuwazia huyu mtu simpatii jibu dhamira yake ninini?
Mungu ni mwema sana nimeshajua moyo wake ukoje
Bado swali ni lile lile dhamira yake ninini alivyoondoa hela,za mzunguko zote?
Nawasilisha