Kama anaipenda zaidi ukawa basi afute AcT yake aliyoianzisha.
Sumu ya CCM bado ni ile ile! Ni chupa tu imebadilishwa! Mwananchi zinduka, chukua tahadhari mapema!
NI NANI ALIYEKUDANGANYA?/ii
Mkuu ukawa anajua kule hataambulia anachokitarajia,anaweza akaupata urais lkn hasipate wabunge kwani act ni chama kichanga bado kinahitaji kujitangaza sana hata kwa miaka kumi ijayo ndio kiwe kama taasisi kamili kama ilivyo cdm,ccm,cuf,nccr
Uraisi hawezi kupata hata aende wapi!. Hatukubali kuwa chini ya fisadi. Ila kama kajuitia makosa na anataka kulitumikia taifa kwamba kajua ccm hakuna uwezekano wa kuijenga nchi anayolilia kuipenda sana sasa, atambue kwamba anauwezo wa kufanya hivyo hata bila kuwa raisi. Na kwa kuwa mfumo wa ccm anauchukia na akijua ndio mfumo aliouasisi wa kifisadi wakati akiwa waziri kule, na sasa anajuta, akae chini, ajifunze njia mpya chini ya UKAWA, abadilike awe mwema aktika siku zake za mwisho lakini ASITHUBUTU KUENDELEA NA SHINIKIZO LAKE LA URAISI WAKATI HAFAI NA WALA ASITEGEMEE KUPEWA URAISI KWA SABABU ANAPASWA KWANZA KUJIFUNZA UZALENDO CHINI YA MFUMO MPYA.
Lowasa akijiunga na CDM jua kwamba CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi huu, kumbuka Lowasa ni ktk magamba yaliyoshindwa kuvuka wakati ule kama wamevua sasa thamani yake inatoka wapi hata CDM wamsafishe.
Huyu hafai hata kua nwanachama wa kawaida labda kama mnataka pesa zake.
Mtadharauliwa sasa mpaka kizazi cha tano.
Mkuu juzi kuna member aliweka bandiko hapa kuwa lowasa ajiunge cdm,lkn ajitokeze hadharani kukana na kuhusika na Richmond na awaombe radhi watanzania kwa kuwamo ktk kashifa hizo na watu wa mungu wamwombee atakuwa mpya
Kusema akane Richmond wakati ni ya kwake, ni kuendeleza uharamia na ulaghai wa mafisadi. Hilo halikubaliki. Yeye kwanza kama ameona UKaWA ni njia sahihi, ajiunge na UKaWA kwa kukubali kwamba alikosea, akiri makosa na kukubali kukaa chini kama raia mwema. Asubiri UKAWA wamejipangaje kushughulikia wezi wa mali ya umma. Wakati huo ukifika, atashughulikiwa tu kulingana na ufirauni wake, namna anayoshirikiana au kutokushirikiana katika kurejesha mali za umma, kiwango cha ufirani wake n.k. sawa na mafisadi wengine bila kujali wako ndani ama nje ya ccm.
Ninaimani UKaWA si walipa visasi. Hawatakuwa na kisasi na mtu lakini wanakwenda kujeng amfumo wa kuliokoa taifa na mali zake.
Lowasa akijiunga na CDM jua kwamba CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi huu, kumbuka Lowasa ni ktk magamba yaliyoshindwa kuvuka wakati ule kama wamevua sasa thamani yake inatoka wapi hata CDM wamsafishe.
Huyu hafai hata kua nwanachama wa kawaida labda kama mnataka pesa zake.
Mtadharauliwa sasa mpaka kizazi cha tano.