Kwanini Lowassa anataabika kupata wadhamini?

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,151
Nimewaona makada Wa chama John Magufuli na Wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.

Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya kuonekana ana resources za kutosha?
 
Mmmh kweli mkuu? Mi sijui mambo ya siasa lakini Lowasa si ndio anapata wadhamini hamsini elfu mikoani huko na hao uliowataja wanapata elfu mbili-mbili?
 
he show them na bado DSM Kitanuka
 
Nimewaona makada Wa chama john magufuli na wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.Swali likanijinia kwanini lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya kuonekana ana resources za kutosha?
Hebe hilo swali muulize mumeo chumbani
 
Au mwenzetu pamoja na kusaka wadhamini pia anakagua miradi ya maendeleo?
 
Mtalii tu kisha arudi kwao akachunge mbuzi
 
Nimewaona makada Wa chama John Magufuli na Wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.

Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya kuonekana ana resources za kutosha?

Unajua maana ya Struggle?
 
Na anaweza kuwa wamwisho kuzirudisha ili jina na vuguvugu libaki hadi watu wanaingia kujadili
 
Mmmh kweli mkuu? Mi sijui mambo ya siasa lakini Lowasa si ndio anapata wadhamini hamsini elfu mikoani huko na hao uliowataja wanapata elfu mbili-mbili?
Mnachanganya mambo,wadhamini wanaotakiwa ni 30 tu kwa kila mkoa!
 
wengine wambetenea mikoa15 tu sasa yey anazunguka mikoa yote
 
Huyo mgombea mwingine yuko kwenye kampeni tayari na tume ya uchaguzi kwasababu ni wakuwekwa (yaani hawako kikazi) tu hawatamuuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…