kimsboy JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 11,132 Reaction score 24,435 Jul 21, 2022 #1 Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu? Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma? Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu? Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma? Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,210 Reaction score 37,832 Jul 21, 2022 #2 Hao ndio wanaume walioenda jando, wengine ni rojorojo Sana.
Mr Dudumizi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2020 Posts 7,965 Reaction score 14,520 Jul 21, 2022 #3 Aliekwambia kuwa Omary Mahita ni mtu wa Mara ni nani?
Bepari2020 JF-Expert Member Joined Nov 7, 2020 Posts 2,068 Reaction score 2,456 Jul 21, 2022 #4 Ni udini na ukabila tuu
frankkilulya JF-Expert Member Joined Apr 6, 2022 Posts 651 Reaction score 1,637 Jul 21, 2022 #5 Kiasili hayo ni makabila Yenyewe msimamo sana hasa kwenye uongozi, na hawatoi siri hovyo hovyo
frankkilulya JF-Expert Member Joined Apr 6, 2022 Posts 651 Reaction score 1,637 Jul 21, 2022 #6 Bepari2020 said: Ni udini na ukabila tuu Click to expand... pointless nenda katafakari tena
I Ikimba JF-Expert Member Joined Mar 29, 2019 Posts 368 Reaction score 411 Jul 21, 2022 #7 kimsboy said: Hii imekaaje wadau?Kila cheo jeshini ni wakurya na wasukuma tu? Huko polisi na jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na wajita na wasukuma? Kulikoni?Kwamba raisi hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?? Click to expand... Sababu wakatiri sana ndo kigezo nb moja
kimsboy said: Hii imekaaje wadau?Kila cheo jeshini ni wakurya na wasukuma tu? Huko polisi na jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na wajita na wasukuma? Kulikoni?Kwamba raisi hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?? Click to expand... Sababu wakatiri sana ndo kigezo nb moja
vnn JF-Expert Member Joined Oct 6, 2015 Posts 3,030 Reaction score 7,497 Jul 21, 2022 #8 mwamunyange alikua msukuma? mahita alikua musukuma? IGP mangu je?
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,425 Jul 21, 2022 #9 Mr Dudumizi said: Aliekwambia kuwa Omary Mahita ni mtu wa Mara ni nani? Click to expand... ... na Said Mwema? Na Ernest Mangu?
Mr Dudumizi said: Aliekwambia kuwa Omary Mahita ni mtu wa Mara ni nani? Click to expand... ... na Said Mwema? Na Ernest Mangu?
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,513 Jul 21, 2022 #10 mwema-mchaga. mahita-mpogolo mangu-mnyiramba mwamunyange-mnyakyusa. mabeyo-msukuma.
MUTUYAMUNGU JF-Expert Member Joined Jan 25, 2014 Posts 1,824 Reaction score 4,384 Jul 21, 2022 #11 Mangu Singida moja Mahita Morogoro moja Mahundi Kilimanjaro moja Mwamunyange Mbeya Mboma mbeya Mzena Iringa Mahiga Iringa DGTISS mpare Jack Zoka ... Kipilimba Morogorl Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Mangu Singida moja Mahita Morogoro moja Mahundi Kilimanjaro moja Mwamunyange Mbeya Mboma mbeya Mzena Iringa Mahiga Iringa DGTISS mpare Jack Zoka ... Kipilimba Morogorl Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 Jul 21, 2022 #12 kimsboy said: Hii imekaaje wadau?Kila cheo jeshini ni wakurya na wasukuma tu? Huko polisi na jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na wajita na wasukuma? Kulikoni?Kwamba raisi hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?? Click to expand... Mahita na na Said Mwema walitoka kanda yq ziwa?,uwe unafanya research hata kidogo kabla ya kutoa tuhuma nzito kama hizi
kimsboy said: Hii imekaaje wadau?Kila cheo jeshini ni wakurya na wasukuma tu? Huko polisi na jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na wajita na wasukuma? Kulikoni?Kwamba raisi hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?? Click to expand... Mahita na na Said Mwema walitoka kanda yq ziwa?,uwe unafanya research hata kidogo kabla ya kutoa tuhuma nzito kama hizi
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Jul 21, 2022 #13 CCM ina laana,badala ya kuteua watu wenye weledi kama hawa, unateua Mapaka!πππ Your browser is not able to display this video.
CCM ina laana,badala ya kuteua watu wenye weledi kama hawa, unateua Mapaka!πππ Your browser is not able to display this video.
Saidama JF-Expert Member Joined Jun 10, 2022 Posts 660 Reaction score 1,277 Jul 21, 2022 #14 Swala sio watu wa Mara na Wasukuma. Swala ni kua ndio watu wanaofit izo nafasi vizuri
Ryaro ryaro JF-Expert Member Joined Feb 10, 2021 Posts 377 Reaction score 1,170 Jul 21, 2022 #15 Ndg yangu mtoa mada, Vyeo vya Kijeshi havitolewi kwa ajiri ya kuwafurahisha raia/watu, bali ni kwa merit na seniority. So, Kama wewe unakaa na kukuna nazi na kusukuma chapati nani akuteuwe kuwa Mkuu wa Jeshi lolote hata la Sungusungu...
Ndg yangu mtoa mada, Vyeo vya Kijeshi havitolewi kwa ajiri ya kuwafurahisha raia/watu, bali ni kwa merit na seniority. So, Kama wewe unakaa na kukuna nazi na kusukuma chapati nani akuteuwe kuwa Mkuu wa Jeshi lolote hata la Sungusungu...
Mr Dudumizi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2020 Posts 7,965 Reaction score 14,520 Jul 21, 2022 #16 dudus said: ... na Said Mwema? Na Ernest Mangu? Click to expand... Hata mimi namshangaa mleta mada.
Iselamagazi JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 6,083 Reaction score 6,234 Jul 21, 2022 #17 mkorinto said: mwema-mchaga. mahita-mpogolo mangu-mnyiramba mwamunyange-mnyakyusa. mabeyo-msukuma. Click to expand... Acha utoto; hakuna aliyeuliza kuhusu haya uliyoandika.
mkorinto said: mwema-mchaga. mahita-mpogolo mangu-mnyiramba mwamunyange-mnyakyusa. mabeyo-msukuma. Click to expand... Acha utoto; hakuna aliyeuliza kuhusu haya uliyoandika.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,074 Reaction score 132,541 Jul 21, 2022 #18 Mr Dudumizi said: Aliekwambia kuwa Omary Mahita ni mtu wa Mara ni nani? Click to expand... Au mahundi Ova
Mr Dudumizi said: Aliekwambia kuwa Omary Mahita ni mtu wa Mara ni nani? Click to expand... Au mahundi Ova
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,404 Reaction score 103,829 Jul 21, 2022 #19 kimsboy said: Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu? Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma? Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu? Click to expand... Mu Irani leo umekengeuka. ππ
kimsboy said: Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu? Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma? Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu? Click to expand... Mu Irani leo umekengeuka. ππ
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,208 Jul 21, 2022 #20 Mshaanza ukabila