MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,431
Kila anayepambana na Makonda huishia pabaya sana, sijui ni lile chozi analolitoa kijana huyu pale madhabauni?
Ebu ona
Gwajima alipokosona na Makonda video zikavuja, walipomaliza tatizo lao Leo Gwajima ni mbunge.
Wote tunajua kilichompata Mange.
Sugu, Lema, Msigwa, Mdee katika wakati tofauti tofauti walimuita majina ya ovyo Leo wako bench, Makonda yeye yuko bench lakini Yuko sub wakati wowote anaingia.
Baada ya Pompeo kumzushia kashfa nzitonzito mtoto wa mkulima huyu, Leo hii kamponza hadi boss wake Trump.
Maendeleo haya chama
Ebu ona
Gwajima alipokosona na Makonda video zikavuja, walipomaliza tatizo lao Leo Gwajima ni mbunge.
Wote tunajua kilichompata Mange.
Sugu, Lema, Msigwa, Mdee katika wakati tofauti tofauti walimuita majina ya ovyo Leo wako bench, Makonda yeye yuko bench lakini Yuko sub wakati wowote anaingia.
Baada ya Pompeo kumzushia kashfa nzitonzito mtoto wa mkulima huyu, Leo hii kamponza hadi boss wake Trump.
Maendeleo haya chama