Kwanini kasi ya ndoa imepungua?

Kwanini kasi ya ndoa imepungua?

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,228
Reaction score
1,264
Habari zenu wanajamiiforums.

Binafsi miaka ya karibuni naona kasi ya sisi wanaume kuoa au kufunga ndoa inapungua sana yaani sasa hivi kuoa kumeisha kabisa hivi kuna nini wanaume wenzangu.

Hata nikihudhuria kwenye ndoa nyingi sasa hivi nakuta wakina dada vituko ndio wanaoolewa wakati masista duu wapo kibao mtaani wamepoteza dira.

Hivi jamani tujadiliane kuna mdudu gani hapa kati?
 
Wadada vituko..... ha ha haaaa nicheke mimi
 
mwanamke akizidi kuwa mzuri anazidi kuwa tatizo
 
habari zenu wanajamii forum
Binafsi miaka ya karibuni naona kasi ya sisi wanaume kuoa au kufunga ndoa inapungua sana yaani sasa hivi kuoa kumeisha kabisa hivi kuna nini wanaume wenzangu.....hata nikihudhuria kwenye ndoa nyingi sasa hivi nakuta wakina dada vituko ndio wanaoolewa wakati masista duu wapo kibao mtaani wamepoteza dira,hivi jamani tujadiliane kuna mdudu gani hapa kati
Hilo swali muulize Bwana harusi yoyoye siku ukienda tena harusini
 
kweli wanawake tusiowatarajia ndio wanaolewa


Ili wazuri wawe michepuko labda maana sidhani kama wangeolewa wazuri tu hao vituko unaowasema wangepata wakuwasitiri....
 
Masuala ya harusi yanaendana na masuala ya ajira...kuna ajira mpya ngapi nchini?
 
Masuala ya harusi yanaendana na masuala ya ajira...kuna ajira mpya ngapi nchini?
sawa lakini hata kuishi na mwanamke wakati mtu unajiandaa kwa harusi imekuwa shida siku hizi sijui ndio kuchokana kwenyewe
 
Wadada ambao tunawaona vituko ndio wwnye akili za kujua nn maana ya ndoa wazur huwa wanaishia kutumika tu pia tatizo la vijana wengi kuchelewa au kutoa kwa kwa sababu wanapata uduma nje ya ndoa + ukosefu wa dini
 
Tatizo wanawake wanazaliwa kwa wingi mno, halafu wanakua kwa kasi mno kama wamewekewa mbolea.
Wanaume wengi naona nowadays wanaoa wakiwa kwenye 30 sasa ukimkuta mdada yuko kwenye 30 hata kumuangalia mara mbili hutamani
 
siku hz unavuta tu unaweka ndani huduma zote unapata hadi vifurushi
 
habari zenu wanajamii forum
Binafsi miaka ya karibuni naona kasi ya sisi wanaume kuoa au kufunga ndoa inapungua sana yaani sasa hivi kuoa kumeisha kabisa hivi kuna nini wanaume wenzangu.....hata nikihudhuria kwenye ndoa nyingi sasa hivi nakuta wakina dada vituko ndio wanaoolewa wakati masista duu wapo kibao mtaani wamepoteza dira,hivi jamani tujadiliane kuna mdudu gani hapa kati
"Siku hizi upatikanaji wa mwanamke umekuwa rahisi zaidi ukilinganisha na zamani... siku hizi wife material wako wachache kidogo wengi ni mademu wa kuruka viwanja kwaiyo-No marriage is relation for enjoyment only after that we let her go"
 
Wanawake wamekuwa wengi mno, mfano naoa wanawake watatu ndoa ya nini tena!
 
Back
Top Bottom