Kwanini Joseph Selasini alirejea Chadema?

Kwanini Joseph Selasini alirejea Chadema?

Ni swali tu jamani na linahitaji Majibu
J.S.Shao,
amerejea chadema kwa makusudi, baada ya kuona na kujiridhisha kwamba chadema kuna ombwe la uongozi wa kitaifa, na kwahivyo, ana kila sababu ya kutumia fursa hiyo kurejea chadema na kwa wakati muafaka kuchukua nafasi ya mwenyekiti wa chadema taifa na hatimae kuirejesha chadema kaskazini ilikozaliwa 🐒
 
J.S.Shao,
amerejea chadema kwa makusudi, baada ya kuona na kujiridhisha kwamba chadema kuna ombwe la uongozi wa kitaifa, na kwahivyo, ana kila sababu ya kutumia fursa hiyo kurejea chadema na kwa wakati muafaka kuchukua nafasi ya mwenyekiti wa chadema taifa na hatimae kuirejesha chadema kaskazini ilikozaliwa 🐒
Bifu lake na Lema limeisha? haha.

walimfungiaga Chooni kwenye uchaguzi
 
Bifu lake na Lema limeisha? haha.

walimfungiaga Chooni kwenye uchaguzi
J.S.Shao kapiga mahesabu makali sana kisiasa,
na akabaini na kugundua kua, uongozi wa chadema taifa wamejaa vijana watupu, ambao kwa akili ya kawaida kabisa, J.S.Shao akajua kua hawa vijana hawawezi kudumu miaka mi5 bila kuzinguana na kuvurugana, hiyo itakua ni uongo,

ngoja nirudi chadema, nijifanye ng'ombe aliekatwa mkia, kumbe anasubiri kuokota dodo chini ya mnazi kimkakati zaidi.

Joseph Selasini anakwenda kua mwenyekiti wa chadema taifa na anaenda kua senior politician kuwatuliza vijana hao na mihemko yao useless 🐒
 
Ni swali tu jamani na linahitaji Majibu
Anacho cheo chochote huko; au anatarajiwa kuwa na nafasi ya aina hiyo ndani ya chama hivi karibuni?

Je, amerudi kwa hiari yake mwenyewe, au kashawishiwa kurudi ndani ya chama kwa matumaini juu yake?

Kama karudi kwa hiari yake, amepokelewa vipi ndani ya chama hicho. Yeye anajiona ni tofauti na wanachama wengine wa kawaida wanaokipenda chama kwa sababu kadhaa walizonazo; au yeye karudi akiwa na malengo yapi, kayaeleza kwa viongozi wa chama na wanachama wenzake?

Nafasi yake ndani ya chama, ana masalia ya wenzake aliowaacha nyuma alipokiasi chama, na sasa karudi kutumia wenzao hao wakisumbue tena chama?
Uwezekano wa haya, viongozi wa chama wanayajuwa?
 
J.S.Shao,
amerejea chadema kwa makusudi, baada ya kuona na kujiridhisha kwamba chadema kuna ombwe la uongozi wa kitaifa, na kwahivyo, ana kila sababu ya kutumia fursa hiyo kurejea chadema na kwa wakati muafaka kuchukua nafasi ya mwenyekiti wa chadema taifa na hatimae kuirejesha chadema kaskazini ilikozaliwa 🐒
Ndondocha mpeleken mama yenu kwenye psychotherapy maana anakaribia kuwa ndondocha kama machawa yake
 
Ni swali tu jamani na linahitaji Majibu
Nionavyo mimi, awezakuwa na imani na uongozi uliopo kwa sasa ambao ni tofauti na uliomfurusha, hilo la kwanza.

La pili, anaweza kuwa 'project' kama alivyokuwa Lyatonga Mrema ama Lipumba, kutengeneza migogoro ili kudhoofisha upinzani kisha 'kuunga juhudi'.
 
Anacho cheo chochote huko; au anatarajiwa kuwa na nafasi ya aina hiyo ndani ya chama hivi karibuni?

Je, amerudi kwa hiari yake mwenyewe, au kashawishiwa kurudi ndani ya chama kwa matumaini juu yake?

Kama karudi kwa hiari yake, amepokelewa vipi ndani ya chama hicho. Yeye anajiona ni tofauti na wanachama wengine wa kawaida wanaokipenda chama kwa sababu kadhaa walizonazo; au yeye karudi akiwa na malengo yapi, kayaeleza kwa viongozi wa chama na wanachama wenzake?

Nafasi yake ndani ya chama, ana masalia ya wenzake aliowaacha nyuma alipokiasi chama, na sasa karudi kutumia wenzao hao wakisumbue tena chama?
Uwezekano wa haya, viongozi wa chama wanayajuwa?
Maswali yako yashaanza kupata majibu
 
CHADEMA ni chama cha hovyo sana. Kila mtu mwenye akili timamu anashangaa kinawakaribisha tena Selasini na Msigwa. Kesho kitamrudisha Yericko! Hakuna mtu ataheshimu chama kama hicho.
 
Back
Top Bottom