Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

poe sana mimi ni mtanzania wa kuzaliwa tena Dar..............................jina langu umelijuaje................................this is only a penname..........
Ungekuwa mtanzania wa kuzaliwa usingekuwa na mawazo ya kinyang,au kiasi hiki. Aliyesema ni mtusi au mganda kakosea wewe ni mkenya. Hata post zako humu jamvini zinaonesha wewe ni mkenya.
 
Sijawahi kumuunga mkono JK lakini ktk hili la EAC namuunga mkono kwa 100%. Anachotakiwa sasa ni kufanya maamuzi bila sura ya makunyanzi, aitupilie mbali EAC tujiimarishe SADC.
 
Kwa wakati ule Nyerere alikuwa hajawajua vizuri nyie wakenya na ndo maana baada ya kuwajua akawapa jina la manyang,au. Na ndomaana hii EAC photocopy imeanzishwa baada ya yeye kufa.
 
Achana nae huyo mpumbavu kaka mpunze, ameona ameshindwa kutushawishi anaingiza udini akidhani atapata support ya wakristo wa TZ. kwa taarifa yake tu humu jamvini tumejaa wakristo lakini tunapinga EAC kuliko kikwete mwenyewe. Asituletee udini na ukabila kama kwao kenya anajivika ngozi ya utanzania mpumbavu mkubwa huyo wala sio mkristo ni mungiki huyo.
 
Kwa wakati ule Nyerere alikuwa hajawajua vizuri nyie wakenya na ndo maana baada ya kuwajua akawapa jina la manyang,au. Na ndomaana hii EAC photocopy imeanzishwa baada ya yeye kufa.

kwa kuhamasisha shirikisho la EAC nimekuwa Mkenya......................in my own birth nation...................
 

tukishatofautiana sasa unanibatiza Mungiki.........................ipo kazi hapa...................upofu wako ndio umekupeleka huko...........lengo hapa ni kupashana habari siyo kutukanana..................na bahati mbaya wala huonyeshi hata kama unaelewa mada iliyopo mbele yako inakuhitaji utoe mchango upi.........................tunaweza kutofautiana ni jambo la kawaida lakini matusi haya.......................hayana tija hata chembe.........
 
Ungekuwa mtanzania wa kuzaliwa usingekuwa na mawazo ya kinyang,au kiasi hiki. Aliyesema ni mtusi au mganda kakosea wewe ni mkenya. Hata post zako humu jamvini zinaonesha wewe ni mkenya.

jibu hoja utanzania wako maana yake ni upofu tu?
 

kama ardhi ni lulu mbona nchi inazidi kuushupalia umasikini....................ardhi bila ya kuvuja jasho tena kwa maarifa wafikiri inamaana yoyote ile....................na mbona wageni wa kutoka kila mahali wanakuja kutupora.......................chapeni kazi na hizo siri zenu za Muungano fukarishi kuna siku mtalzieta mezani............lakini angalau hutumii lugha ya matusi..........thank you for that..................siyo kama wale pakashume wengineo..........................wao ni matusi tu lakini hawajasoma hata mada na wala hawajui wako wapi na waelekea wapi....................

Nyerere kwenye hotuba zake baada ya kustaafu alikuja na mada ya kuunganisha nchi zote za EAC........................na alisema ulaya walitawala dunia wanhangaika kuungana sisi na huu umasikini wetu tunazungumzia kutengana katika karne hii ya 21...............kwa sababu za kipumbavu..............................are you not a fool for sheer lack of information.................???????????
 
badala ya kutua mzigo wote kwa Jk watanzania tunatakiwa kutafakari upya ushirikiano wa Afrika mashariki kama ni wa dhati au ni ushirikiano maslahi
 
hatuwezi kumuweka Jk rehani kwa maslahi ya taifa letu ni mismamo yetu kuhusu ardhi, ulinzi na uhamiaji(ukaazi) ndio uliwachukiza wenzetu na wala sio Jk
 
Ni makosa kusema Jk hakubaliki ni Tanzania ndio haikubaliki kwa sababu waliochokuwa wanakitaka kwetu wamekikosa na hivyo hawaoni umuhimu wa kuendelea na sisi.
 
hatuwezi kumuweka Jk rehani kwa maslahi ya taifa letu ni mismamo yetu kuhusu ardhi, ulinzi na uhamiaji(ukaazi) ndio uliwachukiza wenzetu na wala sio Jk

wenye mali ndiyo wamiliki wa ardhi na maliasili nyinginezo............na ndiyo maana ria hutimuliwa kupisha wawekezaji................uwe M-TZ or not ardhi kamwe hutaipata bure..........................................na huyo mgeni unayempiga vita ardhi ataipata kwa bei ya sokini swa na wewe..........................hutapewa upendeleo hata chembe.........................na huo ndiyo ukweli sasa hizi purukshani nyinginezo zinatoka wapi..............................mnaongea kama wamuiliki wa ardhi wakati siyo ukweli...............endeleeni kujidanganya......
 
Ni makosa kusema Jk hakubaliki ni Tanzania ndio haikubaliki kwa sababu waliochokuwa wanakitaka kwetu wamekikosa na hivyo hawaoni umuhimu wa kuendelea na sisi.

unajuaje ya kuwa walichokuwa wanataka wamekikosa?....................na TZ tayari imekubali kusaini mikataba?
 
watanzania tuwe macho na mjadala huu hapa JF kuna wenzetu tunaotaka kuungana nao kwenye EA wamo humu wanajifanya ni watanzania na kujadili kwa faida yao.... humu Jf kuna waburundi, wanyarwanda, wakenya na waganda. watatuponda kwa maamuzi yetu kwa faida yao na kumdhalilisha Jk kwa maslahi yao.
 

seems JK is you god and you have none other than him................
 
unajuaje ya kuwa walichokuwa wanataka wamekikosa?....................na tz tayari imekubali kusaini mikataba?

jina lako tu ni la kinyarwanda tanzania imekataa kuunganisha ardhi, ulinzi na ukaazi ( uhamiaji) kama wote walikubaliana kuunganisha isipokuwa tanzania unategemea watatupenda? Ukiwemo wewe?
 
seems jk is you god and you have none other than him................

ardhi ya tanzania ni kubwa kuliko ardhi yote ya nchi za uganda, kenya, burundi, rwanda kwa pamoja zikiunganishwa kwa maana hiyo wenzetu wanaitaka ardhi yetu kama mahala pa kuhamishia matatizo yao ya ardhi. Ardhi yote ya Tanzania ni kubwa kuliko ardhi ya nchi zote zikiunganishwa kwa pamoja
 
sehemu kubwa ya ardhi ya wenzetu inamilikiwa na viongozi na matajiri. Nyerere alitumia busara kubwa kuimilikisha ardhi yetu kwa wananchi wote ikisimamiwa na Rais/serikali. kumiliki ardhi ya Tanzania kuna kikomo cha miaka kwa sababu sio mali ya mtu mmoja. hakuna anayemiliki ardhi ya Tanzania moja kwa moja kama ilivyo kwa wenzetu.
 
baadhi ya nchi jirani yetu zina matatizo ya ndani ikiwemo vita vya wenyewe katika muungano huu wana mkakati wa pamoja wa ama kuhamishia matatizo yao kwetu au Tanzania kutumika kukomesha vita katika nchi hizo kama ilivyofanyika comoro..... rejea agenda ya kuunganisha ulinzi na usalama. wenzetu wanatumia fedha nyingi sana katika ulinzi
 
jamani bado hamjatambua kuwa aliyeleta mjadala huu ni mtu wa burundi ili kupima joto la Watanzania? kama anafikiri msimamo wa Tanzania dhidi ya masuala ya EA ni ya Jk ni budi tukamuonyesha ni wa watanzania wote. Agenda ya EA sio ya Rais inatuhusu wote. Watanzania asilimia 75 katika kura za maoni walikataa kuharakishwa kwa jumuia ya Afrika mashariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…