Ungekuwa mtanzania wa kuzaliwa usingekuwa na mawazo ya kinyang,au kiasi hiki. Aliyesema ni mtusi au mganda kakosea wewe ni mkenya. Hata post zako humu jamvini zinaonesha wewe ni mkenya.poe sana mimi ni mtanzania wa kuzaliwa tena Dar..............................jina langu umelijuaje................................this is only a penname..........
Kwa wakati ule Nyerere alikuwa hajawajua vizuri nyie wakenya na ndo maana baada ya kuwajua akawapa jina la manyang,au. Na ndomaana hii EAC photocopy imeanzishwa baada ya yeye kufa.matatizo unayoyaongelea ni ya kimfumo tu......................hao wote uliowataja kesho hawapo watakuwa kimya kwenye makaburi yao...................................waonaje ukataja sababu za kimsingi za kumkosoa Nyerere ambaye mwaka 1961 alikuwa tayari kuchelewesha uhur wa tanganyika ili mradi tu kama ingelisaidia kuanzishwa kwa shirikisho la kisiasa la EAC?
Achana nae huyo mpumbavu kaka mpunze, ameona ameshindwa kutushawishi anaingiza udini akidhani atapata support ya wakristo wa TZ. kwa taarifa yake tu humu jamvini tumejaa wakristo lakini tunapinga EAC kuliko kikwete mwenyewe. Asituletee udini na ukabila kama kwao kenya anajivika ngozi ya utanzania mpumbavu mkubwa huyo wala sio mkristo ni mungiki huyo.na ndo hoja ya thread yako na bora umejidhihirisha baada ya kukosa utetezi katika uzi wako. jaribu kuangalia madhara yake kitaifa zaidi na uweke dini pembeni ndo utaona ugumu unaokuja katika suala la ardhi pamoja na ukristu wako. sidhani kama hao wakenya, uganda na rwanda wanafikra mgando za kidini zaidi ya maslahi yao binafsi au ya taifa lao. udini ....... udini...... udini ........ utakupeleka pabaya. kumbuka shirikisho kama hilo lilikuwepo kabla na lilikufa kifo cha mende na yawezekana 7bu ya mapungufu ya huo mkataba kama unavyotaka kutuaminisha eti tujiunge tu 7bu walioko watakufa lkn unasahau kuwa mkataba huo wa kijinga utaendelea kuwepo.
Kwa wakati ule Nyerere alikuwa hajawajua vizuri nyie wakenya na ndo maana baada ya kuwajua akawapa jina la manyang,au. Na ndomaana hii EAC photocopy imeanzishwa baada ya yeye kufa.
Achana nae huyo mpumbavu kaka mpunze, ameona ameshindwa kutushawishi anaingiza udini akidhani atapata support ya wakristo wa TZ. kwa taarifa yake tu humu jamvini tumejaa wakristo lakini tunapinga EAC kuliko kikwete mwenyewe. Asituletee udini na ukabila kama kwao kenya anajivika ngozi ya utanzania mpumbavu mkubwa huyo wala sio mkristo ni mungiki huyo.
Ungekuwa mtanzania wa kuzaliwa usingekuwa na mawazo ya kinyang,au kiasi hiki. Aliyesema ni mtusi au mganda kakosea wewe ni mkenya. Hata post zako humu jamvini zinaonesha wewe ni mkenya.
we sio mkenya kweli?suluhu ya hii ardhi yetu tunayoiita 'lulu' sio kuwapa hao makaburu na sio pia kuiweka iwe chini ya EAC, ila ni kuwatumia wana taaluma wetu vyema waweze kutumia hiyo 'lulu' kukuza uchumi. Kwa suala la muungano kwakweli naona tunanyanyasika sana kama watanganyika, labda kuna siri nyuma ya pazia juu ya kunufaika kwa watanganyika kwenye muungano.
hatuwezi kumuweka Jk rehani kwa maslahi ya taifa letu ni mismamo yetu kuhusu ardhi, ulinzi na uhamiaji(ukaazi) ndio uliwachukiza wenzetu na wala sio Jk
Ni makosa kusema Jk hakubaliki ni Tanzania ndio haikubaliki kwa sababu waliochokuwa wanakitaka kwetu wamekikosa na hivyo hawaoni umuhimu wa kuendelea na sisi.
watanzania tuwe macho na mjadala huu hapa JF kuna wenzetu tunaotaka kuungana nao kwenye EA wamo humu wanajifanya ni watanzania na kujadili kwa faida yao.... humu Jf kuna waburundi, wanyarwanda, wakenya na waganda. watatuponda kwa maamuzi yetu kwa faida yao na kumdhalilisha Jk kwa maslahi yao.
unajuaje ya kuwa walichokuwa wanataka wamekikosa?....................na tz tayari imekubali kusaini mikataba?
seems jk is you god and you have none other than him................