Kwanini Jerusalem ni mji Mtakatifu?


Umeelewa ulivyochambuliwa??
Au wewe ndio unaeleta SIASA
 
Umeungana na ndugai
 
Jerusalem is my favorite city
 
Wana bodi salam.

Naomba kujuzwa zaidi historian ya mji wa yelusarem in nani hasa anastahili kuwepo ktk mji huo kati ya wayahudi na waislaeri na nini hasa chanzo cha mgogoro wao?
 
mhh..rais wa dunia Trump kishasema 'yelusarem ni ya waislaeri'
 
Badilisha Kwanza Hyo Avatar Ndo Uulize Historia Ya Mji Mtakatifu,,,,
 
Trump amekosea nini kutangaza kuitambua Jerusalem kama makao makuu ya Israeli?
 
Ahadi za Mwenyezi Mungu ni takatifu na huwa hazibadiliki, hata binadamu afanyeje kamwe hataweza kubadilisha ahadi hizo. Hata wapange vita ya mabomu ya atomic mtashindwa tu kwani mnapambana na Mungu.
 
Chato inajengwa kwa fedha kutoka mfukoni mwa MTU mmoja
 
Mengi sana yataongelewa,lakini ukweli ni kwamba Mungu mwenyewe ndiye aliyeutenga mji huo kuwa mji mtakatifu,kwa malengo yake.Amefanya hivyo kwa kuwa ametaka kufanya hivyo,hakuna wa kumhoji.Hivi chungu kimuulize potter kwa nini umenitengeneza hivi kweli,nadhani haiwezekani.Tumuache Mungu awe Mungu,we can never understand his ways.

Matatizo yote yanayoendelea kuhusu Jerusalem ni harakati za Shetani za kujaribu kufisha mpango wa Mungu mwenyewe wa kuufanya Jerusalem kuwa makao yake makuu hapa duniani after the millenium,kama alivyoshindwa vibaya katika jaribio la kumfanya Bwana Yesu asiangikwe mtini.He thought kwa kumuwamba Yesu mtini that would be the end of the salvation plan,kumbe infact alikuwa anafanikisha mpango wa kumuokoa mwanadamu.

Shetani bado hajajifunza.Vurugu zote hizi hatimaye zitaishia kwenye kulijenga hekalu la tatu na la mwisho la Wayahudi,in which the so called Jewish Messiah,who will infact be the Antichrist au Dajjal kwa wengine, will rule humanity for a while,seven years to be exact.Baada ya hapo mfumo huo ambao utakuwa wa kipepo proper,utasitishwa by binding the Devil for a thousand years by God himself,in which period Jesus Christ will rule from the holy city of Jerusalem!After the 1000 years which will be of complete peace and tranquillity,Satan will be unbound for a while,but will again collude with humanity to attack the holy city of Jerusalem.God will not withstand this nonsense anymore.He will engulf Satan with eternal fire where with his followers(evil angels and evil humanity)will be tormented for ever.

The present heaven and earth will be completely obliterated,and he will create a new heaven and earth.God will then descend a new Jerusalem to exactly the same spot where the present Jerusalem stood and will live there with His holy people for ever.So you see, this is why Satan is creating all sorts of conflicts so as to derail Gods' plan.This is a conflict between good and evil.

But as I have said,he will fail,just as he failed in preventing Gods' plan for Salvation.Praise God.

Friend,having heard of this magnificent plan of God, why don't you surrender your life to Jesus,so that you can be part of Gods people in the holy city.Just say this simple prayer loudly and you will have received salvation:

Dear Jesus,I have understood your magnificent plan for the holy city of Jerusalem.I know that If I will have lived to the day when Satan's army would destroy your holy City,I would be part of the army to destroy your holy city.I today believe that you died for me on the cross and through the shedding of your blood on the cross, my sins are forgiven.I also believe that you are the son of God.I accept you as my Lord and saviour.Amen.

If you have prayed this simple prayer,believe that you are saved and that you are now a son of God.Find a Church which truly believes in Jesus Christ and participate in daily services.
 
Nitasujudu,nikilikabili hekalu lako takatifu,nitalishukuru jina lako. (Acheni tuone Mungu wa Israel kama kweli yupo,tutajua tu.) Sidhani kama Elia alikosea kumuita akitaka mungu Baali ajipambanue.
 
ilikua zamani saivi huo mji hauni hiyo dadhi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…