Kwanini January Makamba anachukiwa sana?

Kwanini January Makamba anachukiwa sana?

Sidhani kama ni january tuu ...mtu yeyote anayejifanya yeye ni smart na kujiona anajua kuliko wengine huwa anachukiwa.
 
Dogo mjuaji sana..
Anajiona yuko smart sana cha ajabu ni "mweupe" mno
 
Dogo anajiona anajua vitu vingi mpaka vilimshawish jk amwamini,lakn dogo hakuna kitu yule.
 
Mti wenye matunda,,, au nimekosea,
 
Yaani anajiona mjuaji sana huyu Decemba,hali hii ni ngwini angesoma masomo kama ya Albert Einstein hapa mjini tungekoma.
 
Tunamchukia sababu hakutusaidia watanzania kutoka kwenye unyonyaji wa makampuni ya simu, ingawa uwezo wa kutusaidia alikuwa nao, ila nia ndo hakuwa nayo, so hafai kupewa uwaziri ktk sarikali ya Rais wetu mpendwa Mhe. Dkt.John Joseph Pombe Magufuli
 
Nadhani si yeye tu. Kuna January makamba, ridhiwan kikwete, na somebody mgimwa (yule mtoto wa aliyekuwa waziri wa fedha). Hawa jamaa hawapendwi kitaa ni balaa.
Sababu ...tujadili
 
Hapa mnaonesha mahaba kwa mshikaji,

Na mna muomba awashushie tinted,

Haya ndo mnayoeleza humu,

January wasikilize mashabiki wako bro,
 
Lile lijamaa linafiki sana ningekua karibu angenikoma
 
Back
Top Bottom