Tunamchukia sababu hakutusaidia watanzania kutoka kwenye unyonyaji wa makampuni ya simu, ingawa uwezo wa kutusaidia alikuwa nao, ila nia ndo hakuwa nayo, so hafai kupewa uwaziri ktk sarikali ya Rais wetu mpendwa Mhe. Dkt.John Joseph Pombe Magufuli
Nadhani si yeye tu. Kuna January makamba, ridhiwan kikwete, na somebody mgimwa (yule mtoto wa aliyekuwa waziri wa fedha). Hawa jamaa hawapendwi kitaa ni balaa.
Sababu ...tujadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.