kaka zetu ndo wanapenda hivyo, yaani wewe jikaze tu thogh ni ngumu mwanzoni, ila utazoea na hawatakupa shida kabisa. kuwa ane kwa sababu unampenda ila mishe mishe mingine ya kwako endelea nayo kama kawa, utakuwa busy na shughuli zako na utashangaa atakavyoanza kukuganda,ukiwa available sana wanaaza kudhau ivi,
Mydia Naureen...
Nahisi unachokosea ni muda wa kumtafuta au kumpigia simu huyo Man wako, mtext asubuh, mpigie mchana kuuliza anaendeleaje na kama amekula, mtext pia usiku kuuliza ameshafika home na atalala saa ngapi..huko ndiko kupendwa, binafsi Nikipigiwa simu mida isiyoeleweka sipokei, nipo busy na kazi... Na utanilaumu?
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.
ni wengi zaidi ya wa 5,na wengine hata sijawavulia nguo kwani nikishaona hiyo drama inaanza huwa nam drop automatically asinipe headache sasa nisije nikawa nafanya hivi mwisho wa siku nikose hata mume wa kunioa ukute ndo tabia iliyopo mi sijui
kauwaaaaaa nini sasa!!!
Za usooooooo
Long Calls nazo at times zinaboa. Text juu ya Text baada ya Text zinatia hasira, give a nicca a break apumue atakutafuta.
okay ndio zile za MAKAVU LIVE nini!!!!!!!
Haswaaa ndo hizo mamsapu; samahani lakini mambo ya binaadam haya!!!!!!
Mwanaume hawapendi long text, hata zile 30mins call, is just boring. Zipunguze, jifanye hata wewe pia huna muda mrefu wa kulongi nae. Make the chase.....usimgande bana...atakutafuta tu!
mi sidhani kama nnakuwa nimechokwa,kwa sababu mwingine hata kuonana unakuwa hujawahi kuonana nae....anakuwa anakutafuta sana pindi tu utakapo anza na ww kumtafuta anaaanza kama kukupush hvi na ukianza na we kumpush anajirudi..sasa mi nachanganyikiwa.
wanaume wanapenda uwe brief & precise katka mambo yako, sio unapiga simu kila dk au unataka kuongea nusu saa, mnongea nini na mwanume?? , au mnapiga soga za kujenga shule ya kata isiyokwisha ujenzi wake (e.g:madarasa/ vifaa)?? katika simu huwa inakuwa hivi, dk 3 za mambo ya maana na zinazobaki UMBEA, CCM & UPUUZI MTUPU, simu za mara kwa mara au z