Kwanini ilinibidi niache Shule

Kazi inapendeza! Mafanikio mema!
 
Hongera sana
Tatizo vitoto vya shule na vigraduate vya kibongo vimejaa humu jf haviwezi kukuelewa
Kama hii ni stori yako ya kweli, unayaweza
Kama ni shule hata mimi nimeisoma na sio kibongobongo lakini bado naona kama nilipoteza muda.
Mafanikio yako yana mwanga ndani yake, watakuja kuomba kazi kama kwa Chibu.
 
Lengo ni kutomboa tu, so pambana ya hela yote na uwapuuze hawa walimu wa lugha wa jf.
 
Mie najichekeaga tu Kuna mjamaa fulani anaitafuta PhD lakini maisha aloyonayo🤸🤸!na anaamini siku mambo yatakuwa poa..haya maisha bila kutuliza akili utaenda hata havard lakini kitaa kitakutema tu usipokuwa makini!
 
But yule mwenye uwezekano wa kumiliki ela ndefu ni yule ambae anaingia risk katika kuwekeza.Ukiwa umeajiriwa huwezi kupanga jambo likatimia sababu umelimitiwa na aliekuajiri na muda ni mchache Umri unaenda.
Inategemea wapo walioanzia kuajiriwa wakajiajiri
 
Mie najichekeaga tu Kuna mjamaa fulani anaitafuta PhD lakini maisha aloyonayo🤸🤸!na anaamini siku mambo yatakuwa poa..haya maisha bila kutuliza akili utaenda hata havard lakini kitaa kitakutema tu usipokuwa makini!


Si unaona mwenyewe wasomi wengi wanaingia CCM na elimu zao ili kieleweke,
kwa sisi wa kusoma na kazi hata kieleweki
 
Hakuna msomi duniani mwenye muandiko huu.
 
Huu ni uthibitisho kuwa kweli uliacha shule, ila endelea kupambana

WATAKAOKUJA KUKUOMBA OWAONYESHE NJIA, NI WALE WALIOSEMA HUTOBOI - FidQ
Acheni ujuaji kwa hyo ww hapo kwenye neno "usilazimishe" umeweka Red colour kwamba imekosewa au? ulitaka napo aandike usirazimishe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…