papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,171
- 1,733
Za masiku wana jamii?
HIli swali huwa najiluiza sana muda mwingi na jibu muafaka huwa sipati. Unakuta ndani ya mahusiano hasa ya ndoa kuna siku mnakwaruzana na mnakuwa kila mtu kamnunia mwenzake.
Cha kushangaza huwa dushelele na papuchi huwa havinuniani, vinaweza vikahudumiana vizuri na baada ya hapo mnuniano waweza endelea, ushajiuliza ni kwa nini?
Siku njema.
HIli swali huwa najiluiza sana muda mwingi na jibu muafaka huwa sipati. Unakuta ndani ya mahusiano hasa ya ndoa kuna siku mnakwaruzana na mnakuwa kila mtu kamnunia mwenzake.
Cha kushangaza huwa dushelele na papuchi huwa havinuniani, vinaweza vikahudumiana vizuri na baada ya hapo mnuniano waweza endelea, ushajiuliza ni kwa nini?
Siku njema.