Kwanini hawapendi??

Wao wanataka wakifika 21 miaka ibakie hapo, isiongezeke tena

Ukimuuliza ana miaka mingapi, atakujibu natimiza miaka 24 mwezi wa 10...mwakani ukimuuliza tena atakujibu hivyo hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…