Kwanini familia nyingi zenye vijana wa kiume kukiwa na dada wa kazi lazima wamle utamu?

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
735
Hili suala halizungumzwi lakini lipo sana kwa hawa wadada wa kazi kuliwa utamu wao na vijana wakiume kwenye hayo majumba wanayofanyia kazi. Kuna mda hadi ma baba wenye nyumba (boss) nao wamekuwa wakiwapitia hawa madada wa kazi japo huwa ni hatari sana kwa dada wa kazi wake zao wakijua.

Sasa najiuliza kwa kuwa ukiachana na wenye nyumba ambao mda mwingine huwapa ahadi nzuri za kuwaongezea mshara au huwatishia kuwafukuza kazi wakikataa, kuna hivi vijamaa ndivyo mara nyingi huwa vikiwapitia sana hawa wadada na kuna mda mwingine au tuseme mara nyingi vijana hawa wamekuwa hata wakijifunzia mapenzi /kugegeda kwa hawa madada wa kazi kitu ambacho huwa napata shida kuelewa sababu hasa ya hawa madada kuwa rahis hivo kwa kutoa utamu wao kiholela kwani unakuta hadi vijana wa majirani nao wanipata fursa ya kuwaptia tu ki urahis.

Sijajua hii hutokea kwa sababu. :-
(a) familia walizo toka ni duni
(b) wepes kushawishika
(c) hawajui thamani za miili yao
(d) hisia/ashk huwa zinawazidi
(e) hawajielewi
(f) hupewa vitisho ili wafanye
Huwa nawaonea huruma sana wanavyo tumikishwa kwa kazi nyingi lakini pia kwa kazi hii ya kutoa unyumba ambayo huwa ni bure bila malipo na inayokosa utu.

TAHADHARI: Kama ww ni baba au mama au mlezi wa kijana au ni mama mwenye mume kabla hujamleta mdada wa kazi nyumbani kwako hakikisha umempima na yuko vizuri ki afya ndipo aanze kazi hapo nyumbani kwako kwani huwezi jua nini kitatokea mbele ya safari kwan kumekuwa na kawaida ya kuwapuuza hawa wadada wakiwa bado washamba wasiojua kuvaa pindi wanapoletwa kwa mara ya kwanza kutoka vijijin lakini baada ya mda wakinawili na kupendeza mate huanza kuwa toka vijana wa ndani, majirani na hata baba mwenye nyumba.
=================
 
Nimewahi kumlaaa beki tatu nkiwa 17yrs na aliondoka na mimba ya mapacha ila kagoma kuwaleta kwangu now nko 29yrs nameamua kuwachana nao nko na 1 handsome baby boy
 
Tatizo kubwa hapo ni uzinzi, na ikishatokea hivyo ni rahisi kwa familia nzima kuteketezwa na mtu mmoja. Vijana hawapendi kusikia ukweli, na tamaa ndo zinawaponza. Zamani hii ilikuwa too much lakini nowadays watoto wamehamia digital. Utakuta kitoto cha Std 5 kina ma boy friend 2 na wote kinawatimizia.

Kiuhalisia si, ma - house girl /boy pekee ndo wanawaka tamaa. Kila mmoja nwenye afya kamili yuko kwenye hii hatari ya kuwaka tamaa. Hata jinsia za ke walioko kwenye familia wako kwenye hatari ya kutembea na wafanyakazi wa kiume.

Hii inatokana na kushuka kwa maadili ndani ya jamii. Familia zinajiweka mbali na Mungu na matokeo yake ndo haya na hata wazazi kujiachia na watoto wao wa kuwazaa.
 
wadada wa kazi hawana mambo mengi kama mademu wa kisasa

unamvizia katoka kuwasha moto....apo ananuka moshi usiseme......alafu juu kpiga tshirt bila sidiria...... tshrt yenyewe chafu hasa kwenye kifua apo kwenye matiti chacha yamelala kama ndala...............

muhuni wee ujui harufu ya moshi wala nn unapanda kifuani unapiga kimoja cha kuweka akili sawa alafu unasepa

NOTE. wanashika mimba faster bhana bhana bhan na ndo ukute home kuna mawe hatoi mtu apo
 
wadada wa kazi hawana mambo mengi kama mademu wa kisasa

unamvizia katoka kuwasha moto....apo ananuka moshi usiseme......alafu juu kpiga tshirt bila sidiria...... tshrt yenyewe chafu hasa kwenye kifua apo kwenye matiti chacha yamelala kama ndala...............

muhuni wee ujui harufu ya moshi wala nn unapanda kifuani unapiga kimoja cha kuweka akili sawa alafu unasepa

NOTE. wanashika mimba faster bhana bhana bhan na ndo ukute home kuna mawe hatoi mtu apo
 
Na familia ikiwa na mfanyakazi wa kiume houseboy au dereva... Jua kabisa kuna binti analiwa au mama mwenye nyumba
 
wadada wa kazi hawana mambo mengi kama mademu wa kisasa

unamvizia katoka kuwasha moto....apo ananuka moshi usiseme......alafu juu kpiga tshirt bila sidiria...... tshrt yenyewe chafu hasa kwenye kifua apo kwenye matiti chacha yamelala kama ndala...............

muhuni wee ujui harufu ya moshi wala nn unapanda kifuani unapiga kimoja cha kuweka akili sawa alafu unasepa

NOTE. wanashika mimba faster bhana bhana bhan na ndo ukute home kuna mawe hatoi mtu apo
Not all housegirls are dirty

If you see a house girl is dirty it implies that the mother house also is dirty

Provided that your housegirls are dirty hence I can say your mother also is so dirty
 
Back
Top Bottom