UFALMEnaUKUHANI
Member
- Mar 23, 2025
- 16
- 8
Matajiri Dunia imewashuhudia wengi lakini Mimi nikiacha habari ya Tajiri na mfalme sulemani.
Niseme habari ya Tajiri mwingine wa aina yake kwa mtazamo wangu.Yaani Elon Musk.
Mtazamo wangu unazingitia mambo yafuatayo:
Moja namna anajiweka karibu na jamii. Jinsi ambavyo anautafsiri utajiri(kama utumishi kwa wanadamu na sio ubwana)-hapa Kuna hoja ya uwepo wake katika serikali inayopingwa na kuchukiwa na watu wa mlengo wa kushoto yaani maglobalist-yaani serikali ya Donald Trump.
Si hapo TU kukubali kwake kuongoza kitengo hiki kipya cha (D.O.G.E).
Natazama kwa Sasa ni kama anakwenda anticlockwise na maglobalist. Kitendo Cha Cha kuruhusu matumizi ya akili badala Yale waliokaririshwa vyuoni. Hapa anahusika na wanafanyakazi wake.
Naomba Leo niseme haya!
Niseme habari ya Tajiri mwingine wa aina yake kwa mtazamo wangu.Yaani Elon Musk.
Mtazamo wangu unazingitia mambo yafuatayo:
Moja namna anajiweka karibu na jamii. Jinsi ambavyo anautafsiri utajiri(kama utumishi kwa wanadamu na sio ubwana)-hapa Kuna hoja ya uwepo wake katika serikali inayopingwa na kuchukiwa na watu wa mlengo wa kushoto yaani maglobalist-yaani serikali ya Donald Trump.
Si hapo TU kukubali kwake kuongoza kitengo hiki kipya cha (D.O.G.E).
Natazama kwa Sasa ni kama anakwenda anticlockwise na maglobalist. Kitendo Cha Cha kuruhusu matumizi ya akili badala Yale waliokaririshwa vyuoni. Hapa anahusika na wanafanyakazi wake.
Naomba Leo niseme haya!