Kwanini Dar es Salaam kuna magari madogo mengi?

Kwanini Dar es Salaam kuna magari madogo mengi?

riba

Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
23
Reaction score
13
Hili suala linanishangaza sana kuna magari MADOGO sana mengi kama vile vitz,starlet,ist,n.k.....Nini siri ya haya magari kuwa mengi dsm????

Naomba kujua??????
 
Sehemu iliyo na watu Wengi,Huduma mbovu za usafiri Jijini,Watu Wengi Wenyw kipato cha kati Unategemea nini.??
 
hata ulaya Gari zinazotumika zaidi ni ndogo ndogo, sema wao ni za bei kubwa
 
Magari madogo ndiyo habari ya mujini tena karibia nchi zote, kikikubwa hazihitaji parking space kubwa, fuel consumption kidogo, etc
 
Hawana hela ya mafuta

Wanaovuta wanyama kama Range Rover za 2015,BMW X6......,VXV8, na wanyama wa kiumeni kama hao wako arushaaaaaa!!!!

Dar wanakunywa safari ndogo,na wanapiga pombe kali kabla ya kunywa heinkein
 
70% ya madereva dar ni wanawake!hiyo ndiyo sababu kuna nagari mengi madogo
 
Back
Top Bottom