Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,112
Habari za mwaka 2012 wanabodi! Ningependa tujadili matukio hatari kwa upinzani mwaka 2012.
1.MGOMO WA MADAKTARI; Nakumbuka CHADEMA kiliunga mkono mgomo huo ambapo watanzania wengi walipoteza maisha.Lengo lilikuwa ni kuishinikiza serikali itatue kero katika sekta ya afya ili migomo isijirudie mara kwa mara.Serikali ilichukizwa na msimamo wa CHADEMA na kuanza kuwatumia mashushushu kusambaza ujumbe eti CHADEMA wanafurahia vifo.
Hata Dr.Ulimboka alipotekwa,kuteswa na kutupwa mabwepande; Serikali ya CCM ilianza propaganda eti Ulimboka alitekwa na WANACHADEMA waliovalia magwanda ili wananchi kuichukia serikali.Mwishowe ukweli ulisimama pahala pake,CHADEMA kilisimama.
2.MBIO ZA M4C ;Chama kiliendesha vuguvugu la mabadiliko ili kuhimiza umma kuunga mkono upinzani.CCM kiilianza hujuma.Bila shaka mtakumbuka vifo Iramba,Morogoro na Iringa.Lengo ni kuihusisha freemasonry na CHADEMA eti damu inamwagika wananchi wakiogope chama hicho.CHADEMA kimeshinda majaribu, Je CCM hakitajutia jambo hili?
1.MGOMO WA MADAKTARI; Nakumbuka CHADEMA kiliunga mkono mgomo huo ambapo watanzania wengi walipoteza maisha.Lengo lilikuwa ni kuishinikiza serikali itatue kero katika sekta ya afya ili migomo isijirudie mara kwa mara.Serikali ilichukizwa na msimamo wa CHADEMA na kuanza kuwatumia mashushushu kusambaza ujumbe eti CHADEMA wanafurahia vifo.
Hata Dr.Ulimboka alipotekwa,kuteswa na kutupwa mabwepande; Serikali ya CCM ilianza propaganda eti Ulimboka alitekwa na WANACHADEMA waliovalia magwanda ili wananchi kuichukia serikali.Mwishowe ukweli ulisimama pahala pake,CHADEMA kilisimama.
2.MBIO ZA M4C ;Chama kiliendesha vuguvugu la mabadiliko ili kuhimiza umma kuunga mkono upinzani.CCM kiilianza hujuma.Bila shaka mtakumbuka vifo Iramba,Morogoro na Iringa.Lengo ni kuihusisha freemasonry na CHADEMA eti damu inamwagika wananchi wakiogope chama hicho.CHADEMA kimeshinda majaribu, Je CCM hakitajutia jambo hili?